Nina rafiki yangu amejaliwa watoto wawili nje ya ndoa !! Kufika kwene ndoa bila bila wakat na mke ana mtoto wa pembeni.
Tupeni ABC!Mliopata matatzo ya utasa au ugumba ukubwani tatizo lilikua nini.
Soma Pia: Tatizo la Ugumba kwa wanaume la zidi kuwa kubwa