Habari wakuu,
Kuna kisa ambacho nisingependa kukiweka hapa lakini kimenivutia kuandika kidogo ufahamu juu ya tattoo kama ni dhambi au vibaya kwa muono wangu binafsi.
Kujichora tattoo kwa sehemu kubwa ya jamii zetu inachukuliwa kama uhuni na kila tafsiri mbaya. Lakini zipo jamii za kiafrika...