tatu mzuka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vichekesho

    Kubeti sio kamari, kamari ni kama vile Tatu Mzuka (sio betting)

    1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti. 2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye hamjui anabeti. 3. Serikali inapopitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kupanga matumizi ya fedha...
  2. F.S

    Makonda Tunyooshee tatu mzuka (wadudu) Arusha

    Habari wakuu. Mh. Makonda ujapo Arusha kuanza kazi rasmi tunaomba uanze na tatu mzuka. Hawa vijana wameharibu sifa ya mkoa wa Arusha. Mitaa ya uwanja wa ndege mpaka kisongo hakufai wanakupiga tukio mpaka mchana kweupe. Tafadhali sana nusuru sifa njema ya mkoa huu. Nawasilisha. Asante
  3. F

    Mashaka kuhusiana na mchezo wa kubahatisha wa TATU MZUKA unaochezehwa na Zembwela

    Huu mchezo ambao mara nyingi nimekuwa nikiutazama ITV umenipa mashaka. Mara nyingi washiriki hupata milioni tano kurudi chini. Kumbuka hapo Kuna milioni 50, 60 hadi 70. Cha ajabu watu hawashindi hela hizo nyingi. Jamaa anachokifanya baada ya kufunga mchezo anachomoa vile vibao vyenye hela...
  4. Pastory Kimaryo

    Michezo ya kubahatisha kama biko na tatu mzuka mmiliki wao ni nani na inafanyaje kazi?

    Habari wakuu, nahitaji kujua hivi hii michezo ya kubahatisha wamiliki ni akina nani manake imeibuka kuwa mingi sasa. Na pesa wanayokusanya inaweza kuwa nyingi hivi au kawaida? Pia huwa inaendeshwaje kwa maana ya kuchagua namba na mambo mengine.
  5. OLS

    Wale wachezaji Tatu Mzuka mnilijua hili?

    Hawa jamaa nimewaangalia kwa ukaribu wanavyoendesha bahati nasibu yao. Watu hawa huwa na namba tatu za bahati, kinachonishangaza ni kuwa kila wakati huwapigia simu watu wawili tu wakati wanasema kuwa namba za bahati zinakubalika kwa arrangement yoyote. Sasa chukulia namba za bahati ni 658, hizi...
  6. Mkogoti

    Je, Tatu Mzuka ndiyo hawa wa Mnada Poa?

    Tatu Mzuka mtangazaji alikuwa Mussa Hussein alikuwa anaipambia balaa kwamba weka namba zako tatu za bahati ili ushinde mamiliioni, Sijajua kama bado inaendelea. Naona wamerudi tena kwa style nyingine na mtangazaji ni yuleyule Mussa Hussein, sasa hivi wapo kwa jina la Mnada Poa. Unatuma hela...
  7. AbuuMaryam

    Mnada Poa ni Tatu Mzuka iliyobadilisha jina

    Hawa watu wanajitahidi sana kubuni mbinu tofauti tofauti ili wazipige hela za watu(UTAPELI) Na wanatumia media kwa nguvu kubwa. WANAKERA SANA. KUNA WENGINE WANATUMIA MEDIA KAMA ITV KUANZISHA KIPINDI KUJIELEZEA WAMEFANYA NINI MIAKA MITANO. TENA WAKATI HUU wa uchaguzi. Media hizi zinatumika...
Back
Top Bottom