MADAKTARI FANYENI KAZI KWA BIDII, UPENDO NA HURUMA: MBUNGE TAUHIDA
Madaktari wa Kituo cha Afya KVZ Mtoni wametakiwa kufanya kazi kwa bidii, upendo na huruma ili kujenga Imani na wateja wao.
Mbunge wa viti Maalum Mhe. Tauhida Galls amesisitiza hayo katika Hospitali ya KVZ Mtoni Mara baada ya...