tausi

Douchi (Chinese: 豆豉; pinyin: dòuchǐ), or tochi is a type of fermented and salted black soybean. In English, it is known as fermented black soybeans, Chinese fermented black beans (Chinese: 黑豆豆豉; pinyin: hēidòu dòuchǐ), salted black beans, salty black beans, or just black beans. They are a flavoring most popular in the cuisine of China, where they are most widely used for making black bean sauce dishes.Douchi is made by fermenting and salting black soybeans. The black type soybean is most commonly used and the process turns the beans soft, and mostly semi-dry (if the beans are allowed to dry). Regular soybeans (white soybeans) are also used, but this does not produce "salted black beans"; instead, these beans become brown. The smell is sharp, pungent, and spicy; the taste is salty, somewhat bitter and sweet. The product made with white soybeans is called mianchi.
Douchi, "Chinese salted black beans", and "black soybeans" should not be confused with the black turtle bean, a variety of common bean that is commonly used in the cuisines of Central America, South America, and the Caribbean.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    VIJANA PITIENI TAUSI PORTAL MTAKUJA KUNISHUKURU.

    Ujumbe huu uwaendee vijana watafutaji na wawekezaji hasa wale wanaopenda kuwekeza kwenye ARIDHI. Ingia google andika Tausi portal ingia kwenye menu.Angalia sehemu imeandikwa LAND SALES🤝 Ukiingia kupitia computer utaona details nyingi kama bei ya kiwanja,ukubwa wake na plot namba.Simu...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kwanini Mbuni, Tausi na Kasuku hatufugi Kwa wingi hapa Tanzania?

    Mimi ni mdau wa kilimo na Ufugaji na ninapenda kutoka moyoni kabisa. Katika Hali inayonipa maswali mengi ni hili swala ufugaji wa Ndege kama Tausi Mbuni na Kasuku. Huwa napenda kujifunza bila ukomo hasa kupitia mitandao ya kijamii. Ukiingia mjini YouTube uka search Ufugaji wa Tausi Tanzania...
  3. Kaluluma

    Msaada namna ya kurenew leseni ya biashara kupitia Tausi Portal

    Habari za leo wakuu, Mimi ni kijana wenu mhangaikaji. Leseni yangu ya biashara ya hardware imefikia ukomo, na nilihitaji kuirudia kupitia Tausi Portal. Changamoto niliyonayo ni kuwa sioni sehemu ya kufanya urudishaji wa leseni hiyo. Nimefuata hatua zote hadi ninapofika sehemu yenye vipengele...
  4. ndege JOHN

    Natamani kufuga kobe na tausi nitawapata wapi naombeni mwongozo.

    Nataka niweke hao wanyama nyumbani kwangu kuna mtu akaniambia tausi wapo ikulu na labda wanaopewa ni viongozi wakiomba.Nani anajua wapi nitawapata tausi kuhusu kobe nashangaa wameadimika sana mashambani ila nina imani nikitoa offer atafutwe lazima atapatikana.tausi nampataje na bei zake zipoje...
  5. ndege JOHN

    Natamani kufuga kobe na tausi nitawapata wapi naombeni mwongozo.

    Nataka niweke hao wanyama nyumbani kwangu kuna mtu akaniambia tausi wapo ikulu na labda wanaopewa ni viongozi wakiomba.Nani anajua wapi nitawapa tausi kuhusu kobe nashangaa wameadimika sana mashambani ila nina imani nikitoa offer atafutwe lazima atapatikana.tausi nampataje na bei zake zipoje wakuu.
  6. Ustadh tongwe

    TAMISEMI mfumo wenu wa Tausi unainyima mapato Serikali

    Nnakubali mfumo wenu umekuwa mkombozi sana kwetu wafanyabiashara imepunguza msongamano kwenye halmashauri ila kuna mapungufu myafanyie kazi maana mimi nna miezi 2 nnafanya kazi bila leseni. Sio kwa kupenda ila mfumo wenu hautaki maana mimi nna biashara ya hardware, nna godowns 4 nimetolea Moja...
  7. Kaka yake shetani

    Mfumo wa ununuzi ardhi (TAUSI) kuna katabia ufanywa na wafanyakazi halmashauri zenu

    Kuna hujuma zinazotendeka kwenye mfumo wa TAUSI kipindi wanapoweka kuhusu upatikanaji wa maeneo yanayouzwa kupitia mfumo wenu. Wanapo tangaza kuhusu maeneo wanayo yauza cha kushangaza hiyo tarehe uwezi kuona wameweka mda wa asubuhi mpaka saa 12 jioni ila mpaka inapofika usiku saa sita ndio...
  8. Roving Journalist

    Dkt. Tausi Kida: Serikali inaboresha Sera na Sheria kuondoa vikwazo kwa wawekezaji

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida amesema Serikali inaendelea kufanya maboresho makubwa ya Kisera na Kisheria ili kujenga mazingira mazuri ya kuvutia uwekezaji nchini. Dkt. Kida, amesema hayo leo Februari 26, 2024 Jijini Dar es Salaam alipofanya kikao na Joy Basu...
  9. kelvin complex

    Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal

    Habari, naomba mwenye uzoefu wa kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online uitwao tausi portal unaopatikana katika tovuti ya Tamisemi, anisaidie namna ya kupata mawasiliano ya huduma kwa wateja, kwani mtandao umekuwa na changamoto ya kuchelewa kutoa control number ili kupata leseni ya...
  10. Chizi Maarifa

    Kasuku kanionesha tabia halisi ya huyu Jamaa. Kumbe mnafiki sana

    Kuna kipindi nlitaka kufuga Kasuku Mimi nawapenda. But demu wangu wa kipindi hicho alinikataza kabisa. Akisema hawa ndege wana imani imani flani pia. Tulikuwa tukibishana sana. Na anadai wangesababisha hata mimi na yeye tusioane. Hivyo hakutaka kabisa kusikia hizo habari. Kwa kipindi hicho...
  11. Christopher Wallace

    Hivi ni kweli Mrema aliwahi kukamata tausi wakitoroshwa Airport?

    Tukiwa tunaomboleza kifo cha Augustine Mrema, mtu pekee kuwahi kushika cheo cha Naibu Waziri Mkuu. Mtaani kuna tetesi kuwa enzi za ubora wake, Marehemu Mrema aliwahi kuzuia tausi wasitoroshwe airport na mke wa kigogo fulani. Ukweli wa taarifa hizi upoje? Wakongwe njooni mtujuze...
  12. P

    Analoshindwa Putin aliliweza Magufuli kwa kutumia zawadi ya tausi watatu kwa Museveni na Kenyatta

    Video ya Vladmir Putin akihojiwa na waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya magharibi inatembea mitandaoni. Putin anajitahidi sana kujenga hoja za kujibu maswali lakini kama kawaida yake anarudia makosa yale yale ya miaka yote. Putin aidha hana team nzuri ya Diplomasia au anaogopwa na...
  13. init

    Uchambuzi wa Shairi la Tausi kama ilivyo ghaniwa na Mbosso na Mrisho Mpoto

    Aawali ya yote ninapenda kuwashukuru kwa kubahatika kunusa uzi huu. Ifuatayo ni Tafakuri fupi ya uchambuzi Inayotokana na shairi la Tausi lililo ghaniwa na Mpoto akiwa na Mbosso. Tausi wewe Tausi wetu Karibu Tausi uipambe nyumba yetu Awali Mshairi ana mkaribisha Tausi, hivyo Tausi ni Mgeni...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Tausi wa Mrisho Mpoto ndio nani hapa nchini?

    Kwema Wakulungwa! Hii nchi mtu huwa mzalendo akiwa na njaa, fukara na apeche Alolo Ila akipata ulaji uzalendo huyeyuka Kama theluji. Hii imaanisha nini? Naomba kwa heshima na taadhima, Kwa wale wanafasihi Nguli waje waniambie Tausi wa Mrisho mpoto kwenye hii nchi ndio Nani? Alafu Mrisho...
  15. N

    Je, tausi anaweza kuishi mwenyewe porini?

    Au wameshakuwa kama kuku kwamba bila kufugwa na watu hawawezi kustawi? Karibuni kwa taarifa wajuzi!
  16. B

    Watuhumiwa waliokuwa wanatuhumiwa kukutwa na ndege TAUSI waachiwa huru, je kufuga Tausi ni halalli?

    Nadhani makosa yaliyotunguliwa na Biswalo Mganga dhidi ya watu mbalimbali kinyume Cha haki na bila upelelezi kukamilika kwa miaka kadhaa yanatia kichefuchefu na kujiuliza amepandishwaje kuwa Jaji? Mfano mdogo, watuhumiwa wanadaiwa kukutwa na nyara za serikali( ndege aina ya Tausi) na wanawekwa...
  17. Sky Eclat

    Hizi nguzo zilikuwepo na picha ya tausi, enzi hizo chumbani kwa bibi hiki ni kitanda muhimu.

    Kiliitwa kitanda cha semedari
  18. britanicca

    Hivi Tausi waliopelekwa JS Hotel hapo awali nani aliidhinisha? Nani mmiliki?

    Ugawaji wa Tausi huu Ugawaji wa Tausi, kabla ya Raisi Hajagawa tausi kwa wastaafu, kuna hotel inaitwa JS imeshapatiwa hao Tausi kitambo, Ni mmiliki nani na nani hasa aliruhusu wato Ikulu? Britannica
  19. mugah di matheo

    Sijamuelewa Mtukufu juu ya Tausi wa ikulu

    Leo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa Mama Maria Nyerere, nampongeza kwa hilo na ni jambo la kizalendo sana Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa...
Back
Top Bottom