Habari za kazi, Natafuta gari ya kufanyia tax mtandao(Uber & Bolt), nina uzoefu wa kuendesha tax mtandao zaidi ya miaka minne, naishi kongowe mzinga kilwa road, nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na maarifa.
Mawasiliano 0769235120
Natafuta gari ya kufanyia taksi mtandao - maarufu Bolt au Uber. Uzoefu ni miaka mitano hapa Dar es Salaam.
Kwa mwenye gari anipigie kwa namba 0759280756.
Gari ni IST, Sienta, Passo, Ractis, Raum au Vitz
In Tanzania, there is a widespread misconception that about 5 million Tanzanians out of over 60 million citizens are taxpayers. However, this belief does not reflect the true nature of the Tanzanian tax system. A closer look reveals that nearly every citizen contributes to the nation's tax...
For more than two decades, Tanzania's tax disputes have been adjudicated by a structured system starting with the Tax Revenue Appeals Board (TRAB), followed by appeals to the Tax Revenue Appeals Tribunal (TRAT), and finally to the Court of Appeal of Tanzania (CAT). This process has been governed...
Habari!
Naitwa Ashraf, nina miaka 25, Elimu yangu ni Kidato cha 4, nimesoma VIP pale NIT. natafuta gari ya kufanyia kazi (Tax Mtandao). Nipo tayari kwa mkataba au hesabu. Nina uzoefu kama Dereva pamoja na uaminifu wa hali juu.
Nina Leseni hai, nimesoma VIP na nina kitambulisho cha taifa (NIDA)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.