Habari, Kama kichwa kinavyo sema hapo juu, mimi ni kijana nina miaka 26 elimu ya stashada ya maendeleo ya jamii kwetu ni mtwara kwasasa nipo Dodoma, Ujuzi nilio nao tofauti na elimu yangu:
. Ujuzi wa computer hasa exel,word na publisher
. Saluni ya kiume(kunyoa)
. Kuandaa miradi, nipo hapa...