Huyu binti ni balaa
Ana mwezi mmoja yupo anaizunguka ulaya anakusanya paund
Kwa miaka ya karibuni sijapata kuona msanii wa kike mwenye influence km huyu
Anapendwa sana kwa nchi zilizoendelea ila naona kwa waafrica hajapenya labda south Africa tu ndio anaheshimika
Uwanja wa bernabu wa real...