@tbs

  1. Iruru

    KERO Hewa chafu eneo la Mchicha Vingunguti

    NEMC na taasisi zingine za uthibiti, eneo la Mchicha Vingunguti kuna hewa kali sana ambayo ukipita lazima ushindwe kupumua na kupata kikohozi kikali. Watu wanasema sulphur inayotoka viwandani. Je, mmeamua kutua kwa sulphur baada ya kimbunga Hidaya kutusamehe?
Back
Top Bottom