Kwa sasa naamini ili wasionekane hawausiki na yanayotokea TCRA waliondoa account yao.
Ukweli mtandao X kuna viongozi wanaogopa kuwa na account au kama wanazo basi sio zao.
Na lingine kama TCRA inaonekana kuwa vikwazo sana kwenye mambo mengi inawezekana na google nayo ikajiondoa tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.