Ziara ya kusikiliza na kutatua changamoto za walimu nchini (Samia Teachers Mobile Clinic) inayoratibiwa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kushirikiana na serikali inatarajia kuwasili mkoani Geita Februari 25, 2025 na kumalizika tarehe 26 Februari ambapo lengo ni kusikiliza changamoto mbalimbali...
Hello Wasailiwa Watarajiwa wa Ngazi ya Ualimu katika Utumishi (PSRS),
For those of you preparing for the Utuminshi recruitment exams (both Written Test and Oral Interview), we recommend checking out various practice tools. Many candidates have shared that the exam questions often revolve around...
ENGLISH TEACHERS TANZANIA
As a teacher preparing for a written aptude test in English or Written Test ,
it’s important to start with a clear understanding of the key areas that will be or are preferably to be assessed.
As an English teacher, you need to be familiar with a wide range of...
YALIYO NYUMA YA PANZIA APTITUDE TEST TEACHING POSITION
FO MATERIALS
Click the Link Below to Get the Complete Guide for Free in Your Email:
👇👇👇👇👇👇👇
https://docs.google.com/document/d/1foJQ2GghLGSldEkj3DjdTMNeHv4fbHST4Waw0yf6BdM/edit?usp=drivesdk
JOIN OUR CHANEL
👇👇👇👇👇👇...
Habari zenu,
Kwa mtu anayesoma vikindu teachers college, naomba kujua, anayetaka kuanzia ngazi ya diploma kwa ualimu wanampokea, na ada bei gani.
Nimejitahidi kuwapigia simu hawapokei.
Position: Teachers
Qualifications
Prior teaching experience of Cambridge Curriculum (English First Language).
Experience in Cambridge Assessment International Education (CAIE)
Specialized training in teaching secondary school Checkpoint, IGCSE and AS/A -LEVEL
At least five years of teaching...
Wanafunzi wengi wanapojiunga na Elimu ya Juu wamekuwa wakinufaika na ada, ela ya kujikimu, utafiti n.k. inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ili kuweza kuwawezesha kukamilisha masomo yao.
Napenda kuipongeza Serkali kwa kuongeza kiwango cha ela ya kujikimu kufikia shilingi 10000/= kwa...
Abstract and Figures
In 2012, the British Council and the Government of Tanzania through the then Ministry of Education and Vocational Training, now Ministry of Education, Science and Technology, implemented a four-year project, known as Education Development and Quality Improvement Project for...
Chondechonde mkuu wa shule, kamati ya uongozi na bodi ya shule ya Sekondari Nyiendo tunawapigia magoti kwa huruma yenu mtusaidie kuhusu mambo yafuatayo.
1. Malipo ya mishahara yetu sasa tunaelekea ndani ya miezi minne hatujalipwa mishahara yetu.Sisi kama binadamu tuna wategemezi,tuna familia...
Position: English Teachers (O-Level)
Subject and work station:
English Literature & Kiswahili (O – Level) - Smith Campus, Usa River, Arusha
English Literature (O – Level) - Sisia Campus, Moshono, Arusha (Short Term Contract)
Who are you?
A highly-motivated teacher with excellent attention to...
Position: Physics Teachers (A – Level)
Location: Usa River, Arusha
Who are you?
A highly-motivated teacher with excellent attention to detail, who loves working with students and can facilitate a holistic learning curriculum.
You are able to develop, monitor and evaluate lesson plans...
NB: Mada husika ipo kwenye paragraph ya pili.
Heshima kwa wanajukwaa wote, baada ya salamu naomba niende moja kwa moja kwenye jambo la msingi.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2022 na ninahitaji kujiunga na chuo cha Ualimu cha Songea (Songea Teachers' College) ili nisomee Diploma kwa...
Nimesoma maelekezo ya Waziri wa Elimu, nimeona ni vema Walimu hao hao wakifaulu mitihani yao pia wasajiliwe kwenye board yao.
Hivyo ni vema kuanzishwa kwa Teachers Registration Board sasa.
Hii itasaidia walimu kuepukana na chama cha unyonyaji cha CWT.
I AM A TEACHER...
I May be a School Teacher,
I May be a College Lecturer,
I May be a University Professor !
Behind That Doctor,
It is Me, a Teacher •••
Behind That Engineer,
It is Me, a Teacher ••
Behind That Statistician,
It is Me, a Teacher •••
Behind That Nuclear Physicist,
It is Me, a...
Habari za mapambano wakuu, Mimi ni mwanafunzi moja ya chuo kikuu kimoja apa Tanzania, Nasoma shahada ya kwanza ya ualimu sayansi ( mwaka wa pili).
Ni ended kwenye lengo la Uzi huu, kwa utafiti wangu mdogo nimegundua Kuna uhitaji mkubwa sana wa walimu, kwa upande wa masomo yote yaani sayansi...
DAR ES SALAAM INDEPENDENT SCHOOL (DIS)
Registration Numbers S. 2544 and DS/02/7/037
English and Kiswahili Teachers
We need very experienced ENGLISH and KISWAHILI Teachers to join our well established Middle School Team Immediately.
English and Kiswahili Teachers Requirements
Experience of...
Click Up company limited tumeleta mfumo maalaumu kwa ajili ya kumanage na kutunza kumbukumbu za shule yako. mfumo huu unakuja na biometric device maalumu kwaajili ya kufuatilia attendance ya walimu shuleni.
Gharama ya mfumo pamoja na biometric device kwaajili ya attendance ni 700,000 TZS...
Job Summary
We are looking for secondary school teachers, for arts and business studies Minimum Qualification: Bachelor Experience Level: NO EXPERIENCE.
Job Description
A full-time permanent Teacher position has become available on TAIFA ONLINE EXAM to start in JUNE 2020 at MBEYA TANZANIA...
This is because they don't understand most topics in mathematics hence resulting in students mass failure in mathematics exams.
Dar es Salaam. Serikali imesema kuanzia Julai Mosi itaanza kutoa mafunzo kazini, ikiwamo mbinu za ufundishaji wa somo la hesabu.
Hatua hiyo ni baada ya Serikali...
Habari Wana jukwaa la elimu, je Patandi teachers college inatoa diploma ya special education; na kama inatoa naombeni maelezo jinsi ya kufanya application.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.