Walikuja kwa kishindo, walitishia kila mtu aliopo mbele yao.
Waliaminisha kwamba CHADEMA kuanzia BAVICHA, BAZECHA NA BAWACHA Zimejaa rushwa.
Walituaminisha uchaguzi wa mabaraza utakuwa wa wizi mkubwa wa kura na utatawala vurugu na rushwa kila kona.
Lakini tulichokishuhudia uchaguzi ni wazi...