tec yalaani utekaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limelaani matukio ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini na kuvitaka vyombo vya dola kutimiza wajibu wake ipasavyo, ili kurudisha heshima ya Tanzania iliyozoeleka ya kuwa ni kisiwa cha amani. Mbali na hilo, maaskofu hao wamesema viongozi waliopo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…