tegeta escrow

Tegeta Escrow, Kashfa ya Escrow, Skendo Escrow, mabilioni escrow
The Tegeta escrow account scandal is a 2014 multi million-dollar corruption scheme in the government of Tanzania. Reports and documents show that between US $250 million and $800 million were transferred from the Bank of Tanzania, the country's central bank, and distributed illegally among government officials.
  1. T

    How PAP acquired IPTL for almost nothing and looted US$124m from the BoT

    My take Kama kuna jambo mwenda zake aliinusuru nchi hii ni kuitoa kwenye makucha ya mataperi wa nishati, tulikuwa tumetizamishwa kibra na wala hatukuwa na nguvu za kujinasua kupitia mahakama za kimataifa, maana tayari tulikuwa tumejinyonga kwa kamba yetu wenyewe kupitia mikataba ya kimangungo...
  2. J

    Rugemalila aitaka Benki Kuu iwataje watu wote waliopata mgawo wa Escrow. Gavana asita, aomba ruhusa ya Mahakama awataje

    Mtuhumiwa wa uhujumu uchumi mzee Rugemalira amesema yeye hajalipwa fedha yoyote kutoka account ya Escrow bali alilipwa na PAP. Rugemalira amesema amemuandikia barua Gavana wa benki kuu Prof. Luoga kumtaka awataje hadharani wanufaika wote wa Escrow ili taifa liwajue. Gavana amesema atawataja...
  3. Rugemalila adai aliwaandikia barua TRA kueleza jinsi benki ya Standard Chartered ilivyokuwa ikikwepa kodi

    MFANYABIASHARA, James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ameandika barua kwenda kwa Kamishna Generali wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akielezea ni jinsi gani benki ya Standard Charter Hong kong walivyokuwa wakikwepa kodi na ushuru wa forodha. Rugemalira aliyaeleza hayo...
  4. Wako wapi viongozi waandamizi wa serikali waliohusika na kashfa ya Tegeta Escrow Account?

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, hawa viongozi wa serikali walioruhusu mabilioni ya Tegeta Escrow Account kutolewa Bank Kuu (BOT) kwanini hawajaunganishwa kwenye kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayowakabili James Rugemalila na mwenzie Harbinder Singh Seth, ikiwa wao kama viongozi...
  5. Pesa za ESCROW zilikuwa za umma ama watu binafsi???

    “Tusijipe usahaulifu wa lazima tena kwa haraka.., zile pesa zilikuwa za UMMA au za WATU BINAFSI.., zile pesa za TEGETA - ESCROW Account... NANI ANAWALIPA SCB-HK DENI LAO!?” ==== .., hivi zile pesa zilizofunguliwa TEGETA - ESCROW Account zilikiwa mali ya UMMA au zilikuwa pesa za watu binafsi...
  6. Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

    Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited. Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya inayoshughulika na migogoro ya uwezekaji, ICSID yenye makao yake mjini Washington DC, Marekani na ipo chini ya benki ya dunia.Tanesco ilikuwa...
  7. Ukweli wa Tegeta Escrow!

    Ndugu wanajukwaa, kwanza pongezi juu yenu wote kwa kukaribia kuuaga mwaka 2014. Ndugu zangu nchi hii toka miaka ya 2000+ imepita katika kizazi cha Ulafi kisicho na huruma hata kidogo. Tumeshuhudia Ufisadi wa kutisha usio na mfano wala kipimo kwa wale tuliowaamini na kuwapenda. KWA NINI ESCROW...
  8. Sakata la ESCROW: IPTL na PAP Watinga Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria wa Maazimio ya Bunge

    Wadau, katika kile kinachoonekana kuwa huenda Bunge likaingia tena kwenye mgogoro na Mahakama juu ya sakata la ESCROW, Leo Mwanasheria wa IPTL na PAP, Joseph Makandege amesema kuwa wamepeleka shauri Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria juu ya Maazimio yaliyotolewa na Bunge juu ya sakata la...
  9. Escrow: Je, Watanzania ni ignorant au tumelogwa? Tuache cherry-picking kutafuta Mbuzi wa Kafara!

    Wanabodi, Preamble Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena pale pale...
  10. Barua ya zuio la Mahakama bungeni -ESCROW lilikuwa fake?

    Chanzo: Mwananchi Mkanganyiko unazidi kujitokeza tokana na barua toka Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam kuzui bunge kujadilia kashfa ya ESCROW Acc. kwani barua inaonyesha iliandikwa saa saa nane mchana kabla ya kuanza kusikiliza shauri hilo saa nane na nusu mchana. Hivyo barua iliandikwa...
  11. Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Baada ya bunge kwenye kikao cha asubuhi kusema swala la Escrow limeingizwa kwenye ratiba na ripoti itawasilishwa kuanzia jioni ya leo. Tujumuike kwa pamoja kuhabarishana yanayojiri jioni hii bungeni Dodoma kuhusu sakata la Escrow. Anaekalia kiti jioni hii ni spika mwenyewe mama Anna Makinda...
  12. Mahakama imetoa zuio la kujadili taarifa ya CAG kuhusu Tegeta escrow Bungeni

    Source kutoka kwa Zitto
  13. Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

    Wakati Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakichachamaa wakisema hawatakubali Bunge hilo kuingiliwa na mhimili wa Mahakama, Mahakama hiyo imejiweka kando na tuhuma hizo. Sakata hilo lililotawala kikao cha Bunge hilo jana lilitokana na madai yaliyoibuliwa juzi na wabunge wa kupinzani...
  14. Msichokijua kuhusu kashfa ya Tegeta Escrow Account

    PAP ni mbadala wa Dowans Singh Sethi ni mbadala wa Rostam Aziz (wakala) Wizi wa pesa ya Tegeta Escrow account ni mbadala wa wizi wa pesa za EPA account Kama ilivyokuwa mwaka 2005, mkakati wa sasa unalenga kufanikisha pesa za uchaguzi, 2015 Kama ilivyokuwa 2005, wizi wa pesa za Tegeta Escrow...
  15. Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

    Kwa mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha Dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika 'Tegeta Escrow Account' si mali ya serikali na hivyo si mali ya umma. Akaunti hiyo ilifunguliwa na...
  16. Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida bunge la asubuhi limemaliza kwa mvutano mkali baada ya Kafulila kuomba muongozo juu ya ESCROW na wizi uliofanyika. Ndipo AG alipoitwa kutoa maelezo kwanza, alianza kushambulia vielelezo vya Kafulila kuwa ni vipeperushi tu hali hiyo ilipelekea Mnyika kudai kuhusu...
  17. Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

    Dodoma. Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila jana aliibua tuhuma nzito bungeni akiwahusisha mawaziri wawili na Sh200 bilioni zilichotwa katika Akaunti ya Escrow, iliyokuwa inamilikiwa kwa pamoja kati ya Tanesco na Kampuni ya kufua umeme ya IPTL. Katika tuhuma hizo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…