teknolojia ya habari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lady Whistledown

    Libya: Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Benki Kuu atekwa, Benki yasitisha Huduma zote

    Benki Kuu ya Libya imetangaza kusitisha shughuli zake hadi pale Afisa wake muhimu, Musab Msallem aliyetekwa nyara, atakaporejeshwa Taarifa ya Benki hiyo imesema Msallem alichukuliwa kutoka nyumbani kwake na "kikundi kisichotambulika" na pia wafanyakazi wengine wa Benki hiyo wametishiwa kutekwa...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Barua ya Wazi kwa Jerry Silaa, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. Bei za vifurushi vya data zipungue

    𝒀𝒂𝒉: 𝑼𝒍𝒊𝒏𝒈𝒂𝒏𝒊𝒇𝒖 𝒘𝒂 𝑩𝒆𝒊 𝒛𝒂 𝑽𝒊𝒇𝒖𝒓𝒖𝒔𝒉𝒊 𝒗𝒚𝒂 𝑫𝒂𝒕𝒂 𝒏𝒂 𝑴𝒂𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒚𝒂 𝑾𝒂𝒕𝒂𝒏𝒛𝒂𝒏𝒊𝒂 𝗠𝗵𝗲𝘀𝗵𝗶𝗺𝗶𝘄𝗮 𝗝𝗲𝗿𝗿𝘆 𝗦𝗹𝗮𝗮, 𝗪𝗮𝘇𝗶𝗿𝗶 𝘄𝗮 𝗠𝗮 𝘄𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼 𝗻𝗮 𝗧𝗲𝗸𝗻𝗼𝗹𝗼𝗷𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶, 𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮, 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮. Mheshimiwa Waziri, Kwanza kabisa, napenda kukupa pongezi nyingi kwa kuteuliwa kwako kuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari...
  3. kaponder

    SoC04 Mabadiliko makubwa katika uchukuzi, teknolojia ya habari na mawasiliano 2030-2055 katika kuchangia pato la taifa

    Uchukuzi na teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) ni muhimu Sana kwa usatawi wa nchi ya Tanzania kwa kuchangia Pato la Taifa. Uchukuzi hujumuisha bahari(bandari), usafirishaji wa anga, barabara na reli. TEHAMA hujumuisha matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano ikiwemo mitandao ya...
  4. afrixa

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika uchumi wa bluu

    Kuendeleza uchumi wa bluu wa Tanzania kwa miaka 25 ijayo, inaweza kufanyika kupitia miradi mbalimbali: 1:Uvuvi Endelevu: Kuanzisha na kutekeleza sera za uvuvi zinazolenga uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali za bahari. 2:Utalii wa Baharini: Kuendeleza vivutio vya utalii kama vile mbuga...
  5. Ibun Mallik

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika eneo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

    Maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano yanakuwa kwa kasi sana duniani na ni sekta muhimu sana katika maendeleo ya taifa lolote lile, Tanzania nayo kama nchi inayohitaji maendeleo lazima kuendana na kasi ya maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. Yafuatayo yakifanyika...
  6. The Great P

    SoC04 Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

    It is clear that we all agree that the growth of ICT in the world has contributed to the advancement of development and the simplification of life globally. This is one of the indicators for economically developed countries, where the level of ICT development is high, and we see many countries...
  7. Cute Wife

    Pre GE2025 Maigizo Bungeni: Waziri Nape na viongozi wengine wakaribishwa Bungeni na Roboti Eunice

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amekaribiishwa na roboti Eunice wakati akiingia bungeni leo Mei 16, 2024 ambapo uwasilishaji wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, unafanyika. Roboti hilo lililokuwa katika lango ya kuingia ukumbi wa Bunge na...
Back
Top Bottom