telegram yafungiwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mbona Telegram haifanyi kazi?

    Mbona huku tuko busy na mishe zetu wala hatuna habari na siasa zao za kitapeli? Kwa sasa huwezi ingia tele bila vpn iwe simu au vpn. Nimekaa nimewaza hawa jamaa kwani wana matatizo gani, pamoja na wizi wote wanaoufanya bado wanataka kutukaba mpaka huku? Nyie chawa wa Lumumba fikisheni ujumbe...
  2. UN watoa ripoti mpya kuhusu app ya Telegram. Yadai inahusika katika kuwezesha makundi ya uhalifu na shughuli haramu!

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa siku ya Jumatatu imedokeza kuwa mitandao ya kihalifu kote Kusini Mashariki mwa Asia inategemea zaidi app ya ujumbe wa Telegram kwa ajili ya kutekeleza shughuli haramu. Ripoti hiyo inaangazia jinsi app ya Telegram imewezesh na kufanikisha kwa kiasi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…