tenda za sukari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Kwanini kamishna wa PPP David Kafulila hatolei ufafanuzi sakata la sukari?

    Ni kawaida ya kamishna wa PPP kutolea Ufafanuzi sintofahamu zinazohusu mambo mbalimbali ya Biashara na foreign exchange Nchini. Na wakati mwingine huenda pale DK 45 ITV kwa Middle Kutoa Ufafanuzi. Lakini kwenye hili sakata la Sukari mh Kafulila aka Tumbiri yuko kimya Kabisa kana kwamba imports...
  2. K

    Suala la sukari ililoagizwa kuziba pengo lililotokea hapa nchini

    Kumekuwa na mtifuano kati ya Mhe. Mpina na Mhe. Waziri wa Kilimo - Bashe kuhusu sukari iliyoagizwa ili kuziba pengo lililotokea katika nchi. Mengi yamezungumzwa na Watanzania tumesikia mengi. Kama kweli yale maneno aliyoyasema Ndugu Lissu kule Itigi basi Serikali iliyoko madarakani inatakiwa...
  3. T

    Luhaga Mpina, Waziri kavunja Sheria hatangazi tenda kuagiza Sukari nje; Waziri kasema ni kweli tenda hazitangawi. Eti leta ushahidi?

    Kuna mambo yanaendelea mpaka unashikwa na hasira na kutamani kupiga ukuta ngumi. Sasa Mh mpina kasema waziri kavunja sheria, Tenda zote za Kuagiza sukari nje hazitangazwi kinyume na sheria na taratibu. Wakati akijibu Mh Waziri wa Kilimo akasema ni kweli tenda hazitangazwi. Hivi kwa mlinganisho...
Back
Top Bottom