Polisi, Jeshi na usalama tendeni haki kwa manufaa ya taifa. Kama kweli mnapenda taifa hili simamieni haki na demokrasia. Waachieni Watanzania wachague watu wao kwa matakwa yao. Msiwaibie kura mafisadi.
Jeshi jiulizeni vizuri wenzenu wamekufa huko Congo Je ni lini hao wanasiasa wamewaongelea...
NENO LA LEO
✓ Tendeni haki kwa wanyonge na walio chini yenu...
✓ Wasaidieni masikini na wenye uhitaji...
✓ Msijaribu kuchelewesha riziki za wenzenu...
✓ Walindeni watoto msiwadhuru wala kuwatelekeza kwasababu ya tamaa zenu za maisha...
✓ Pendaneni msifanyiane fitina wala ubaya wowote...
Hiyo ni...
Kutenda haki kwa watawala ni mada muhimu katika Quran, ambayo inasisitiza uadilifu, usawa, na kutokufanya dhuluma kwa watawala. Aya nyingi katika Quran zinatoa mwongozo kwa viongozi kuhusu jinsi wanavyopaswa kutenda haki na kutawala kwa busara na uadilifu. Hapa ni baadhi ya aya zinazohusiana na...
Huyu member aliweka uzi hapa jukwaani kwamba akiwa na akili timamu Simba ikifunga apigwe ban ya week.
Naomba apate haki yake hii tabia ya kutoa ahadi tu halafu mods hamtekelezi itaota mizizi humu JF naomba haki itendeke.
Bahati nzuri siku hizi unaweza kuingia kwenye TANZLII and other law websites za nchi zote duniani ukasoma kesi zilizoamriwa.
Kuna kesi unaona kabisa kuwa huyu Advocate ilibidi amshauri mteja kuwa hatutoboi maana sheria iko wazi , kuwa hii ni uphill battle due to time limitation, ITAKUBANA...
Katika kesi inayoendelea ya ugaidi ya wakina Mbowe, mashaidi wengi wamekuwa ni police wakiongozwa na Kingai, Mahita, Goodluck, na Jumanne.
Cha ajabu uwezo wao waliouonesha kizimbani ni mdogo sana. Hawa watu ni watupu. Zaidi wamejivua nguo na wanazidi kujivua nguo hadharani.
Walichoweza , ni...
Wanabodi,
Naomba kuanza uzi huu kwa declaration of interest. Mimi ni mdau mkubwa sana wa TCRA, nawakubali sana, na hadi vipindi vyao nafanya
Ila TCRA ilichomfanyia Humphrey Polepole na shule yake ya uongozi sio sawa, sio haki, ni kumuonea na TCRA kufanya maamuzi kwa double standards...
Haya yanayozungumzwa juu ya ukosefu wa haki yanatia doa na dosari nchi yetu.
Jeshi la polisi limekuwa ni mtuhimiwa namba moja kwa ajili ya uonevu.
Ipo mifano hai huko barabarani jinsi rushwa ilivyotamalaki. Lakini pia kuna vituo km Oysterbay na Central DSM, kule wamejaza mali za watu kama...