Tengeru is a market-town in the Arusha Region of northern Tanzania. Located below Mount Meru on the eastern edge of the eastern branch of the Great Rift Valley, surrounding Lake Duluti, Tengeru has a temperate climate. The town is thirteen kilometres east of the city of Arusha.
Jamani barabara ya kutoka Tengeru kuelekea Chuo cha mifugo(LITA), Chuo cha maendeleo ya jamii (TICD) ni mbaya Sana.
Hii ni barabara muhimu Sana kwani inaenda kwenye taasisi muhimu za serikali.
Pia husaidia wakazi mbalimbali kuleta bidhaa zao hasa siku za soko la Tengeru jumatano na jumamosi...
Wakuu kwa mara yangu ya kwanza kufika kule namsindikiza mdogo wangu anaenda chuo cha tengeru.
Sina experience yeyote najua hapa nitapata ABC zake.
Shukrani.
Jana nilikuwa naongea na moja ya wananchi washio Arusha.
Ktk kupiga stori za hapa na pale aliniambia visa na matukio ambayo mimi binafsi yamenitisha na kuniumiza kichwa.
Usalama wa Wananchi Arusha hasa mitaa ya Tengeru umekuwa Mdogo.
Kuna matukio ya kiharifu yametokea kati ya Tarehe 12 na 15...
Niwe wazi na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Serikali imeshindwa kujenga Kwa kiwango cha kimataifa barabara kutoka Tengeru kwenda Moshi mjini?
Sasa imeanza kuziba viraka barabara yote hiyo tena bila aibu!
Tanroads wamelala usingizi.
Samia anagawa hela kwenye Mchezo.
Barabara hiyo...
Habari zenu wanajamvini,
Naomba kuuliza kuhusiana na matokeo ya usahili wa mahojiano ilifanyika tarehe 19/09/2022 chuo Cha Tengeru Institute of community development kwa kada mbali mbali, je majibu yameshatoka toka utumishi?
Na waliofanikiwa kupata NAFASI je wameitwa kwa simu au Bado...
POST: EXAMINATIONS OFFICER II – 2 POST
EMPLOYER: Tengeru Institute of Community Development (TICD)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-11 2022-06-24
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To administer and supervise examinations according to examination regulations of the Institute;
ii. To...
VACANCIES TO BE FILLED BY TRANSFER
Tengeru Institute of Community Development (TICD) is a result of upgrading the former Community Development Training Institute (CDTI – Tengeru) into a full-fledged autonomous Institute. Tengeru Institute of Community Development (TICD) is established by the...
Sehemu ya kwanza.
Kabla ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar,Tanzania ilikuwa ikujulikana kama Tanganyika.
Tanzania ni moja kati ya nchi kadhaa duniani zenye kuhifadhi wakimbizi na kundi kubwa ni la wakimbizi wanaokimbia vita katika nchi zao.
Licha hiyo,Tanzania iliwahi kuhifadhi wakimbizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.