tesla

  1. Yoda

    Trump ayafanyia kampeni ya masoko magari ya Tesla ya Elon baada ya anguko kubwa la mauzo na hisa

    Baada ya anguko kubwa la mauzo na hisa za magari ya kampuni ya Tesla inayomilikiwa kwa hisa nyingi na kuongozwa Elon Musk, Rais wa Marekani Trump ameingia mzigoni akitumia ofisi ya Ikulu ya US, White House kuifanya matangazo ya kibiashara na kushawishi watu kununua magari ya Tesla huku...
  2. Davidmmarista

    Ushirikiano wa Elon Musk na Donald Trump Wapelekea Kuporomoka kwa Mauzo ya Tesla

    Katika miezi ya hivi karibuni, kumekuwa na mjadala mkali kuhusu ushirikiano kati ya Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla, Elon Musk, na Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump. Ushirikiano huu umeibua maswali mengi, hasa kutokana na athari zake kwenye mauzo ya magari ya umeme ya Tesla katika masoko...
  3. Mad Max

    Tesla wamezindua Update ya Model Y: Codenamed "Model Y Juniper"

    Juzi Tesla walizindua Model Y, ambayo ni update ya Model Y iliopita, wanaiita Model Y Juniper. Tesla walijitahidi sana kuweka hii siri, ila wananchi walishashtukia maana hakunaga siri haya maisha. Lengo kubwa la Tesla kuweka siri waliogopa itaaffect mauzo ya Model Y ilipo sokoni sahivi kwamba...
  4. Mad Max

    Kuna Tesla Model 3 imefikisha kilometa 500,000 na bado iko na original battery inayosoma Battery Health 85%

    Kuna mwamba ameshare Model 3 yake likiwa na odometer ya miles 316,270 ambazo ni sawa na kilometa zaidi ya laki 5. Gari bado ipo kwenye original battery, na imepungua battery kwa asilimia 15 tu tokea iwe mpya. Kwa izo kilometa, kama angekua na gari la engine, linalomtaka afanye oil change...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Elon Musk Told The U.N. If They Could Show A Plan For Ending World Hunger He'd Donate $6 Billion – 'I Will Sell Tesla Stock Right Now And Do It'

    In a world where hunger kills more people each year than malaria, tuberculosis and AIDS combined, Elon Musk's bold proposition in October 2021 sparked an unusual yet critical conversation. The tech billionaire, known for electrifying industries and aiming for Mars, turned his attention back to...
  6. Ricky Blair

    Tesla Yatua Bongo

    Haya vijana changamkeni Tesla ishatua Mlimani city jameni😂😂😂
  7. Mad Max

    Tesla Cybertruck imeonekana katika kiwanda cha magari cha BYD China. Wachina wanataka kufanya reverse engineering nini?

    Kuna maneno mengi yanasemwa kwamba Cybertruck kutoka Tesla imefeli sokoni, lakini wote tunaona ndio best selling EV truck hadi sasa. Na pia hii EV haiuzwi officially China, lakini week iliopita imeonekekana kiwanda cha Magari cha BYD. Ilianza kwa kupark nje ya parking ya kiwanda na kua...
  8. Shooter Again

    Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

    Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
  9. Mad Max

    Kampuni ya Deepal kutoka China wamezindua mpinzani wa Toyota Prado, Tesla Cybertruck na Tesla Model S.

    Ni vita na mapinduzi zaidi kutoka China yanaendelea katika sekta ya magari. Deepal wanekuja na hybrid na EV tatu ambazo zimeletwa mahususi kupambana na SUV, offroad trucks na Executive Sedans. Deepal G318 Hii ni REEV off-road SUV inayokuja na four au two wheel drive, ikiwa na engine ya 1.5L...
  10. dosho12

    Maisha ya Nikola Tesla na mawazo ya kusambaza umeme wa wireless bure dunia nzima

    MAISHA YA NIKOLA TESLA NA MAWAZO YA KUSAMBAZA UMEME WA WIRELESS BURE DUNIA NZIMA Nikola Tesla alizaliwa julai 10 mwaka 1856 huko Smiljan Austria Empire ambayo kwa sasa ni Croatia akiwa ni mtoto wa nne kwa wataoto wa tano wakike watatu na wakiume wawili na Milutin Tesla (1819-1879) na mama...
  11. Mad Max

    Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

    Kwenye Tesla event ya tar 10 mwezi October California iliyopewa jina la “We Robot”, Elon Musk, CEO wa Tesla, amezindua magari ya kukodi yanayojiendesha yenyewe, Cybercab na Robovan. Cybercab ni gari dogo yenye gull-wing door isiokuja na steering wheel wala pedal za breki wala mafuta...
  12. Mad Max

    Leo ni 10 10 Tesla Event: We Robot!

    Baada ya kimya na ahadi za muda mrefu za CEO wa Tesla, Elon Musk, finally ile siku imewadia. Ni tarehe 10 October, ambapo billionaire uyo atafanya uzinduzi wa huduma na bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni yake ya Tesla. Event ina tittle “We Robot” ambayo tunaamini kaitoa kwenye series ya...
  13. Jackson News

    Starmer Welcomes Tesla Investment After Musk Controversy

    Starmer Welcomes Tesla Investment After Musk Controversy In a recent statement, UK Labour Party leader Keir Starmer expressed a warm welcome to Tesla’s potential investment in the UK, following a tumultuous exchange between Prime Minister Rishi Sunak and Tesla CEO Elon Musk. This development...
  14. Mad Max

    Mbadala wa Tesla Model 3 kutoka China kwa Tsh Mil 45 tu!

    Xpeng Mona Mo3 ni compact electric sedan, ilioletwa kwa wapenzi wa sedan ambao hawawezi kuafford Tesla Model 3 ambayo ni mara 2 zaidi kwa bei. Design yake imefocus zaidi kwenye aerodynamics, kwani ina drag coefficient ya 0.194 ambayo hadi sasa ndio ndogo kuzidi sedan yoyote iliowahi...
  15. Mad Max

    Nio Onvo L60 ni clone ya Tesla Model Y: Wachina wazee wa kucopy na kupaste tu!

    Hawa jamaa hadi wana kera! Ona hii hapa Tesla Model Y vs Nio Onvo L60. Hapo kwa mbele, ukitoa logo unaweza usijue ipi Tesla ipi Nio. Hadi kaa nyuma, wametembea na beat. Hadi ndani aisee .. Tusiende kwenye technical specifications, ila Nio iko more efficient kuliko Tesla, ngumu kusema...
  16. USSR

    Tunaosubiria simu za Tesla tukutane hapa

    Mambo ya apple ,sijui Google pixel na sumsung tupa kule hapa ni kitu cha Tesla , mwonekano na uwezo wa hali ya juu USSR
  17. Mad Max

    Tesla Model S ikiwa na Odometer inasoma 692,000 Kilometa imepungua original range ya 65 Kilometa tu!

    Ata sio issue kubwa. Ila kuna Model S yenye miaka 8 tokea itengenezwe, odo inasoma kilometa 690k, original battery, imejaribishwa na kuonekana imepoteza range ya kilometa 65 tu kutoka original range ikiwa mpya. Chuma bado iko poa, kasoro tu uchakavu wa kawaida interiors na nje. Tunajaribu...
  18. Kaka yake shetani

    Kwanini gari za tesla ukifika makaburini zinaona kuna watu wakati hakuna watu?

    Ili jambo linazidi kufichwa sana ila litakuja kujitokeza kwenye magari ambayo kwa sasa ndio teknolojia inataka.mfano gari za tesla zimelalamikiwa sana kuwa zinaona watu ambao hawa onekani wakiwa wanapita,tambua mfumo wa gari za tesla una sensa kali. Mfumo wa tesla unaweza kuona magari na...
  19. Mad Max

    Huawei & Chery waja na Luxeed S9 gari itakayo compete na Tesla Model Y

    Wakuu. Tulioana juzi kati kwenye Malaysia Auto Show kampuni kutoka China Aion ambayo ni tawi la CAG wamezindua Aion Hyper HT SUV gari linalofanana na Tesla Model X. Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei Sasa vita bado haijaisha. Kampuni la technology Huawei kwa kushirikiana na...
  20. Mad Max

    Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei

    Juzi kati kulikua na Malaysia Auto Show, kuanzia tarehe 22 May hadi tarehe 26 May. Kuna baadhi ya chuma zimezinduliwa ila hii ilinivutia. Aion sub brand ya CAG wamezindua Aion Hyper HT SUV EV gari linalofanana na Tesla Model X kwa $54,000 tu, performance model. Mfanano hauishii umbo la nje...
Back
Top Bottom