tetesi za usajili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Tetesi: Yanga kumsajili tena golikipa wao pendwa Ramadhani Kabwili

    Ramadhani Kabwili golikipa wa zamani wa Yanga anahusishwa kurudi tena katika klabu hiyo baada ya kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi. Lengo hasa la kumrudisha Kabwili ni kumpa changamoto zaidi golikipa namba moja Diara ambae siku za karibuni imeonekana umakini wake umepungua sana na...
  2. M

    Viongozi wa Simba huyu dogo Kassim Rajani kama ni Mtanzania basi mpeni usajili bila majaribio, boli linatembea sana kwake huyu dogo

    Nimemwangalia huyu dogo kwenye youtube, huyu anajua boli kuliko Mashaka Valentino, anajua boli kumshinda Mukwala, anajua boli kumshinda Prince Dube, hata yule Seleman Mwalimu wa Fountain Gate hamfikii, dogo ana kasi, ana chenga za maudhi, ana control, nimeona clip zake, kama kweli ni mtanzania...
  3. Waufukweni

    Tetesi: Wydad AC yatuma ofa Yanga kwa wachezaji wawili Aziz Ki na Mzize, Yanga yasema kila mmoja ni TSh. Bilioni 1.993

    Klabu ya Wydad Athletic Club imewasiliana tena na Yanga kwa ajili ya kupata saini ya wachezaji wawili, Clement Mzize na Stephane Aziz Ki. Pia, Soma: Hawa ndio Wachezaji Wazawa ghali zaidi Ligi Kuu Tanzania, Vilabu vikubwa Afrika vyawatolea macho
  4. Waufukweni

    Tetesi: Straika mpya Yanga aibukia mazoezini, muda wowote mambo hadharani

    Mshambuliaji raia wa Uganda, Bayo Aziz Fahad ambaye Mwananchi iliripoti tetesi zake za kusajiliwa na Klabu ya Yanga, hatimaye ameonekana katika mazoezi ya timu hiyo iliyoyafanya jana Avic Town jijini Dar es Salaam. Endapo atasajiliwa, itakuwa ni miongoni mwa mikakati ya Yanga kuimarisha safu...
  5. H

    Tetesi: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

    1. Kiungo mkabaji Kelvin Nashon anatakiwa Young Africans 2. Kiungo Mshambuliaji Foday Trawally anatakimmowa na Simba SC 3. Larry Bwalya anawindwa na Singida Black Stars na Pamba Jiji 4. Kiungo raia wa DRC, Harvey Onoya anatakiwa na Yanga 5.Kiungo Mbrazil, Bruno Gomez anaweza kurejea Singida...
  6. L

    Maroon Tchakei ni mali nyingine ya maana kabisa ikisajiliwa Simba dirisha dogo

    Nawashauri sana viongozi wangu huyu Maroon Tchakei ni fundi hasa zaidi ya Ahoua sijui Ngoma sijui Okajepha. Huyu jana angekuwa ndio sehemu ya Simba zile faulo alizokuwa akipiga hovyo Ahoua jamaa alikuwa anaweka kambani kabisa Chonde chonde viongozi mnaodili na usajili mechi ya marudiano na...
  7. M

    Ikitokea Feisal kuhamia Simba, atasugua benchi mwaka Mzima

    Simba ya sasa sio ile ya msimu uliopita. Kwa viwango vya wachezaji wapya wa Simba halafu eti Feisal ajiunge nao, nadhani Kocha angemuombea aruhusiwe kwenda likizo msimu mzima. Soma Pia: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC
  8. Waufukweni

    Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida

    Mdau wa michezo, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Waziri wa Fedha, ameeleza matamanio yake ya kuona kiungo wa Azam FC na timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars", Feisal Salum (Fei Toto) akiichezea klabu ya Singida Big Stars baada ya kuvitumikia vilabu vya Yanga, Azam na Simba. "Mwanangu buana...
  9. Waufukweni

    Tetesi: Wydad Casablanca wamrudia Clement Mzize, Ofa ya zaidi ya Tsh. Bilioni 2, na Masharti Magumu

    Unaambiwa, vigogo wa soka la Morocco, Wydad Casablanca, hawajakata tamaa. Wakifukuzia saini ya mshambuliaji wa Taifa Stars na Yanga SC, Clement Mzize. Hii ni baada ya klabu yake kuweka wazi kuwa hajupo sokoni. Lakini Wydad hawajali, hawasikii wala hawaogopi—wanaendelea kushindilia mlango ambao...
  10. JanguKamaJangu

    Tetesi: Chelsea mbioni kumsajili Jadon Sancho

    Chelsea imeonesha nia ya kumsajili winga wa Manchester United, Jadon Sancho ambaye pia anawaniwa na Juventus. Inadaiwa kuwa Raheem Sterling wa Chelsea pia anaweza kuwa sehemu ya dili litakalomeleka Sancho Chelsea, hiyo ni kwa kuwa hayumo katika mipango ya Kocha wa Chelsea, Enzo Maresca Klabu...
  11. OMOYOGWANE

    Tetesi: Fiston Mayele kutua Kaizer Chiefs

    Mchezaji wa zamani wa Yanga Fiston Mayele ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Pyramids fc. kwa sasa anazungumziwa kumfuata kocha wake wa zamani Nasreddine Nabi. Nabi ambapo kwa sasa ni kocha wa mkuu wa Kaizer Chiefs. Hii habari ni ya imeendelea kushika kazi kwenye mitandano ya kijamii ya...
  12. Its Pancho

    Mpaka sasa wachezaji hawa Yanga watakalia kuti kavu

    Wakuu umofia kwenu. Kwa sasa sote tunajua namna gani yanga imekuwa na wachezaji imara na ushindani mkubwa wa namba kiasi kwamba ukipewa nafasi tu unakaza kweli kweli Well kutokana na falsafa ya Gamondi wafuatao wasipojichunga watakalia kuti kavu. ⭕️ KENNEDY MUSONDA Huyu kwa sasa amekuwa na...
  13. Vichekesho

    Tetesi: Elie Mpanzu kutua Yanga kabla ya Weekend hii

    Kuna taarifa kuwa boss wa AS Vita Club amemvutia waya Engineer Hersi kumweleza kuwa mchezaji Elie Mpanzu (wabongo wananwita Elia) amerudi Congo na hajafanikiwa kusajiliwa Belgium. Boss huyo ambaye ni askari jeshi amesema kuwa mchezaji huyo yuko tayari kuja Yanga endapo atapata nafasi na...
  14. JanguKamaJangu

    Real Madrid na Barcelona zashindana kumuwania Trent Alexander-Arnold

    Klabu za Hispania, #RealMadrid na #FCBarcelona zinaendelea kumfuatia kwa ukaribu beki wa pembeni wa #Liverpool, Trent Alexander-Arnold (25), ambaye mkataba wake unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa Msimu wa 2024/25. Inadaiwa Liverpool ipo tayari kumpa mkataba mpya utakaomfanya alipwe Pauni...
  15. Jaji Mfawidhi

    Tetesi: Mzize asusa kusaini Yanga, Kutimkia Simba!

    Clement Mzize ambaye anadai kuzaliwa 2004 , yani sasa ana miaka 20 ambaye kwa sasa mkataaba wake na Yanga umeisha amegoma kusaini mkataba mpya. Mzize amegoma mkataba mpya na anataka kupandishiwa dau. Ikumbukwe Mzize alikuwa "afisa usafirishaji " -bodaboda Pale Igumbilo Iringa akivaa yebo yebo...
  16. Cicadulina

    Tetesi: Aziz Ki aaga Yanga SC, ahusishwa na Simba SC

    Masaa 2 yaliyopita mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2023/2024 na mchezaji bora namba 2 Stephan Aziz Ki ametumia ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwaaga mashabiki, wanachama, viongozi, wachezaji wenzie na Rais wa Yanga na kuwatakia kheir. Ilikuwa ngumu kama ambavyo Bin Kazumari aliripoti awali...
Back
Top Bottom