teuzi za viongozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Utata wa teuzi za Rais Samia

    Hivi karibuni Rais amemteua Engineer Peter Rudorf Ulanga kuwa mtendaji mkuu wa shirika la ndege ATCL ; akichukua nafasi ya mteule wa Magufuli engineer Ladislaus Matindi. Ikumbukwe tu kwamba Muda si mrefu uliopita engineer Ulanga alitumbuliwa kama mtendaji mkuu wa TTCL Je, Rais anapowatumbua...
  2. J

    Katika Vitu ambavyo Shujaa Magufuli alikuwa anakosea ni Kuteua Wanasiasa kuwa Watendaji Serikalini!

    Teuzi za kisiasa bila kujali taaluma ndio tatizo lililoliangamiza Bara la Africa Viongozi wa Africa wanawaza Uchaguzi wakati Wote Ni Lazima tufike mahali Teuzi za kisiasa ziishie kwenye Ajira za Kwenye vyama Vya Siasa na Taasisi zake Angalia Teuzi za Wakurugenzi wa Halmashauri Hapa Tanzania...
  3. Mwana Mpotevu

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    Leo ndio siku ambayo Spika wa Bunge atafungua Bahasha yenye jina la Waziri Mkuu na kisha Bunge kuketi kama kikao kumpitisha ama kumkataa Waziri Mkuu Mteule. Tujiunge mahala hapa kwa ajili ya Updates kutoa bungeni Dodoma - Bunge linaanza na kazi ya kwanza kuthibitisha jina la waziri mkuu. Spika...
Back
Top Bottom