Hivi karibuni Rais amemteua Engineer Peter Rudorf Ulanga kuwa mtendaji mkuu wa shirika la ndege ATCL ; akichukua nafasi ya mteule wa Magufuli engineer Ladislaus Matindi.
Ikumbukwe tu kwamba Muda si mrefu uliopita engineer Ulanga alitumbuliwa kama mtendaji mkuu wa TTCL
Je, Rais anapowatumbua...