Leo nataka kuizungumzia mamlaka inayosimamia mchezo wa miguu hapa nchini.
TFF ya karia kwa hakika imepata mafanikio kadhaa kama vile kushiriki Afcon Senior na junior, CHAN nk.Lakini pia kuboresha soka la wanawake.
Doa kubwa ambalo Rais Karia asipoangalia litamletea matatizo ni hii Issue ya...