The Tramway Français Standard (TFS) is a type of tram designed and manufactured by Alstom for use on various tramway systems in France. The TFS is no longer in production, having been superseded by the Alstom Citadis range of tramcars.Two different models of the TFS were produced, both being articulated designs. The first model, the TFS-1, was built for the opening of the Nantes tram system in 1985. As built, these were single-articulated 6-axle tramcars with a high floor and steep stepped access from low level boarding platforms. All the tramcars built in this form have since been rebuilt with an added low-floor centre section, thus becoming 8-axle double-articulated cars. Nantes subsequently bought additional TFS-1 trams in this 8-axle configuration.For the opening of the Grenoble tram system, the TFS-2 variant was created. This was also a 6-axle tramcar, but had a different articulation mechanism with a very short central section carried on a four-wheel truck. This allowed a low floor to be carried through most of the length of the car and between the wheels of the central truck, although the sections over the outer bogies are still at a high level and accessed by three steps from the low-floor section. All the doors are within the low-floor section. The advantages of this layout ensured that all subsequent users of the TFS tramcar have adopted the TFS-2 variant.
Jumla ya madawati 90 na viti vimetolewa kwa shule za sekondari na Wakala wa Uhifadhi Misitu Tanzania TFS wilayani Misenyi mkoani Kagera ili kuweza kuboresha upatikanaji wa Elimu kwa wanafunzi.
Akikabidhi madawati hayo Kamishina Kamanda wa TFS Kanda ya Ziwa Ebrantino Mgiye amesema kufanya hivyo...
Askari watatu wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) pamoja na mgambo wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Grace Mussa (4) katika Kijiji cha Mpanda Mlowoka wilayani Kaliua, mkoani Tabora.
Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 2, 2024 Kamanda wa...
Habari wakuu Mimi shida yangu kubwa umu ndani NI kutaka kujua vyeo vyao kijeshi vya watunzaji misitu au Tanzania forest service vipoje kuanzia vyeo vyao Askari mbaka maofisa maana nimeona wanatumia mbaka zile saa za mteule daraja la kwanza na la pili nawasilisha madame kwenu wakuu
Habari Wana JF.
Nina shamba langu wilayani Biharamulo mkoa wa Kagera lenye ukubwa wa ekari 34 na lina miti mingi ya asili kama vile mibanga, minazi, misindo n.k.
Nahitaji kuivuna na kuichoma mkaa na kwa makadirio zitapatikana takribani junia(gunia) 400.
Sasa naomba mwenyekujua gharama zote za...
Ndg. Zitto kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo akiongea na wananchi wa Kagerankanda, Kasulu vijijini amedai kuwa walimwekea mtego wa rushwa afisa wa Wakala wa Misitu Tanzania
Katika msitu wa Makere Kusini ukiitizama mipaka iliyokuwepo mwaka 1956 na hivi sasa pori la akiba limeingia kwenye...
Baada ya memba wa JamiiForums.com kulalamikia mchakato wa kuwaondoa Wananchi walio ndani ya Hifadhi ya Msitu wa Mgori mamlaka zimejibu na kutoa ufafanuzi, soma hapa hoja ya Mdau - Watu wanaodhaniwa Askari wa Polisi na Maafisa Msitu wawapiga Wananchi, kuchoma moto makazi na mazao Wilaya ya Chemba...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji kwa kina askari wa Kampuni ya ulinzi PASCO LTD 11, Maafisa wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) wawili na askari Polisi 6.
Kushikiliwa kwa watu hao kunatokana na tuhuma za kujeruhiwa kwa watu wawili ambao baadae walipoteza...
Mwezi February mwaka huu, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano (MOU) na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini, inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani waarabu wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu. Kwanini...
Kamanda wa polisi mkoa Kigoma Filemon Makungu (wa pili kushoto) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusiana na kuuawa kwa watu wawili na wengine sita kujeruhiwa na wafugaji katika kijiji cha Mvinza wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.
Watu wawili wamekufa na wengine 6 kujeruhiwa baada ya watu...
Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na...
POST FOREST OFFICER II – 10 POST
EMPLOYER Tanzania Forest Services (TFS) Agency
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.To supervise planting and management of natural forests and plantations;
ii.To conduct research related to forestry or environment;
iii.To...
POST BEE-KEEPING OFFICER II – 5 POST
EMPLOYER Tanzania Forest Services (TFS) Agency
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.To maintain all books of accounts and allied records;
ii.To prepare monthly trial balance and bank reconciliation statements;
iii.To...
POST ACCOUNTANT II – 1 POST
EMPLOYER Tanzania Forest Services (TFS) Agency
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.To maintain all books of accounts and allied records;
ii.To prepare monthly trial balance and bank reconciliation statements...
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama!
Kwanza nikupongeze kwa Mafanikio makubwa yanayoonekana kwenye suala la kuwahamisha Machinga na kuwapeleka maeneo rasmi. Na furaha nchi sasa imeanza kupendeza hasa majiji yetu! Nimepita Posta mpya leo na Kweli nimeiona Posta niliyoijua...
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.