The Agenda with Steve Paikin, or The Agenda, is the flagship current affairs television program of TVOntario (TVO), Ontario’s public broadcaster. Anchor Steve Paikin states that the show practices long-form journalism. Each hour-long program covers no more than two topics.
The show airs weekdays on TVO at 8 and 11 pm, and episodes are available on demand at the show website and through mobile media.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Dr. Anthony Diallo amesema ni makosa makubwa na hatari sana kuwaachia wanasiasa watengeneze katiba ya nchi.
Diallo amesema wanasiasa ni wabinafsi hivyo lazima wajipendelee ndio maana katiba ni lazima itengenezwe na wananchi wakisaidiwa na Wataalamu kama...
MTOZI!
Ni mda muafaka sasa wafuatao waalikwe kwenye kipindi chako ili uwasukumie maswali.
Wabunge 19
Spika
Mahera
Waziri wa Sheria
Msajili wa Vyama
Takukuru
Katibu wa Bunge
Mwanasheria wa Serikali
Hao watu ni mhimu sana kuwapanga kwenye vipindi vyako vya mijadala. Hata kama unawagwaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.