MTOZI!
Ni mda muafaka sasa wafuatao waalikwe kwenye kipindi chako ili uwasukumie maswali.
Wabunge 19
Spika
Mahera
Waziri wa Sheria
Msajili wa Vyama
Takukuru
Katibu wa Bunge
Mwanasheria wa Serikali
Hao watu ni mhimu sana kuwapanga kwenye vipindi vyako vya mijadala. Hata kama unawagwaya