Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuujulisha Umma kuwa, haijahusika kwa namna yoyote na ufungaji wa Bar ya THE CASK iliyopo Jijini Mwanza.
Tunaomba wahusika na Umma wawasiliane na Mamlaka husika juu ya jambo hilo.
-
Pia soma
Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji...