theluji

Alicios Theluji (last name pronounced Ze-loo-gee), (born in 1987), is a DR Congolese recording artist, based in Nairobi, Kenya. She sings in Swahili and Lingala, but is also fluent in English and French.

View More On Wikipedia.org
  1. KWELI Hii ni theluji iliyopo karibu na kilele cha Kibo cha Mlima Kilimanjaro

    Habari Wakuu, Nimekutana na video hii TikTok inayodai hii pande kubwa la theluji lipo Mlima Kilimanjaro na lilikuja kutokana na mabadiliko ya Tabianchi. Kuna ukweli hapa? Naombeni mtusaidie ---
  2. R

    Majiji yafunikwa na maji Urusi na Kazakhstan baada ya mvua na theluji kuyeyuka

    Salaam, Shalom! Maelfu ya watu wanaendelea kuhamishwa baada ya maji kufurika Kwa usiku mmoja tu na kufunika maelfu ya nyumba na miundombinu katika majiji ya Orenburg, Syberia na Euros nchini Urusi na Kazakhstan. Kwa zaidi ya miaka 100, hakujawahi Kutokea uharibifu mkubwa kiasi hicho, katika...
  3. Theluji Yaipiga sehemu kubwa za Uingereza; zaidi ya shule 100 zimefungwa, usumbufu wa usafiri unatarajiwa

    Yellow Weather imekuwa ikitoa tahadhari ya hali ya baridi kati katia maeneo ya Uingereza. Usiku wa kuamkia leo Hali joto ilishuka sanaa chini ya Nyuzi joto za Barafu na kusababisha baridi kali sanaa na Barafu kushika katika Miji mingi ambayo imepelekea barabara Kufunikwa kwa Theluji na kuleta...
  4. Hatimaye kipindi cha theluji kimeisha Ukraine, ndio kete aliyokuwa amebaki nayo Mrusi

    Urusi ilitegemea kutumia musimu wa baridi kali yenye theluji ili ijaribu kuiparamia Ukraine, ikapiga miundo mbinu ya umeme kwa kutumia mizinga ya kila aina, ila Ukraine wamekomaa mpaka musimu umeisha huku Mrusi akiwa ameganda anapambania kamji ka chumvi huko mbali Bakhmut. === Kyiv said that...
  5. S

    Urusi: Uvumi wa kuwa silaha za wamagharibi (US+NATO) ni 'superweapons' unayeyuka mithili ya theluji mchana wa jua kali

    Ule uvumi kuwa silaha za wamagharibi ni 'superweapons' (bora zaidi) unayeyuka kama theluji/barafu mchana wa jua kali. Waziri wa Ulinzi wa Urusi General Shoigu amezungumza ktk kongamano la usalama la kimataifa leo Jumanne. Waziri huyo amesema silaha zote zilizomiminwa Ukraine na mataifa yote ya...
  6. Mamlaka ya Hali ya Hewa yafafanua baridi la Njombe: Kinachotokea ni Sakitu siyo theluji

    Kutokana na baridi na kuonekana vitu kama barafu kwa siku za karibuni maeneo ya Njombe hali ambayo imesababisha watu wengi wawe na maswali tofauti kimefafanuliwa. Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo...
  7. L

    Wanaojitolea kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wanateleza kwenye theluji kwa ajili ya ukumbusho

    Wafanyakazi wanaohudumia Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing kwa karibu mwezi mmoja walifurahia kwa kucheza kwenye theluji kwa mitindo mbalimbali tofauti katika uwanja wa mashindano kusherehekea baada ya michezo hiyo kumalizika kwa mafanikio wiki iliyopita. Na wakapiga picha ya...
  8. L

    Vijana wa kujitolea kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wanatengeneza sanamu ya mtu wa theluji

    Vijana wa kujitolea kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wanatengeneza sanamu ya mtu wa theluji.
  9. L

    Mapacha wa kike wa Panda wanaoitwa Meng Bao na Meng Yu wacheza kwenye theluji kwenye bustani ya Wanyama ya Beijing

    Mapacha wa kike wa Panda wanaoitwa Meng Bao na Meng Yu wacheza kwenye theluji kwenye Bustani ya Wanyama ya Beijing.
  10. Rai: Serikali ifanye uchunguzi wa haraka Mkoa wa Kilimanjaro na kuyeyuka theluji mlimani. Yawezekana ni Sabotage

    Joto linalotishia mazingira ya asili ya Mlima Kilimanjaro ni questionable! Ongezeko la joto hadi 40+ kwa siku za karibuni ni kiashiria cha mpasuko mkubwa wa Ozone layer kwa anga linaloambatana na eneo hilo. Kwa uelewa wangu mdogo wa kinachoitwa"global warming" na effects zake siyo regional...
  11. Video: Barafu Biharamulo - Mabadiliko ya Tabia nchi ndio haya

    Global Warming?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…