Huyu mama RPC Theopista Mallya unashangaa alifikaje kuwa askari afisa mwandamizi polisi. Kama kuna kulalamikiwa sana jeshi la polisi ni aina ya askari auofisa kama huyu.
Si tu ameliaibisha Jeshi la Polisi lakini yaliyojitokeza ni kwamba kuna vitu tumeviona
Anapindisha ukweli wa kesi
Anaharibu...