Mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu Halima Mdee, Bi.Theresa Mdee amefariki dunia leo katika hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma
Taarifa hiyo imetolewa na Mbunge Ester Bulaya ambaye amethibitisha taarifa hizo za kifo cha mama mzazi wa Mh Halima Mdee leo katika hospitali ya Benjamin Mkapa na...