Tigo Tanzania is a telecommunication company..
With over 13.5 million registered subscribers to their network, Tigo, directly and indirectly, employs over 300,000 Tanzanians including an extended network of customer service representatives, mobile money merchants, sales agents and distributors.Tigo is the biggest commercial
brand of Millicom, an international company trading in 12 countries with commercial operations in Africa and Latin America and corporate offices in Europe and the USA.
Wakuu,
Hapa juzi juzi tuliona Tigo imebadilisha jina kuwa Yas na kukawa na tetesi kuwa wanakwepa kodi.
Akijibu swali bungeni kuhusu makampuni yanayobadilisha majina ili kukwepa kodi Mwigulu amesema
"Kupitia sheria ya usimamizi wa kodi ya 238, serikali imeweka sharti kwamba mamalaka ya mapato...
Hawa Nyash sorry YAS
Yaani ikifika saa 1 usiku basi sio Lipa kwa mix by YAs sio wakala kukuwekea pesa mtandao unakua shida...
Ila asubuhi na mchana inakuwa fresh tu!
Na ukipiga huduma kwa wateja wanajibu simple tu wanashughulikia..
Lakini tatizo ndio liwe kila siku??
Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.
Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.
Je, ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo nje ya nchi yaweza kuwa Sababu?
Napenda kudecrale interest, Binafsi nilikuwa mmoja wa watumiaji wa hii mikopo, Kwa mkopo wa 83,000 ndani ya miezi mitatu iliyopita, marejesho yalikuwa ni 93,000
Nimekopa kiasi hiki mara tatu na kuilipa ndani ya muda wa mwezi mmoja on time pasipo kuvuka muda huo
Cha ajabu ni siku ya jana nikiwa...
Toka Jana Jioni kumekua na Shida ya Internet Kwa maeneo ya Dar es salaam (Sijui mikoani) mpaka muda huu naandika tatizo ni lile lile!
Sijui changamoto hii itaisha saa ngapi, sijasoma Wala kusikia mahali mkieleza kwamba kutakua ama Kuna Tatizo la Mtandao.
Kwa sisi ambao Huwa tunajiunga na...
Wakuu,
Kumekuwa na shida ya mtandao karibu wiki sasa, saa nyingine ikifika usiku mtandao unakuwa chini sana na wakati mwingine hata siku nzima, unakuta mtandao unasumbua kweli na hii ni kwa mitandao yote, yaani Voda, Airtel ns mingine.
Cha kushangaza shida hii ya mtandao inabagua baadhi ya...
Mtandao wa tiGO ukanda wa Mbeya Kyela umekuwa na changamoto sana takriban wiki mbili sasa kuanzia muda wa saa mbili usiku, changamoto hii ni simu kupatikana kwa shida, kutosikilizana vizuri na message kuchelewa.
Naomba mtandao wa tigo mliangalie hili
Nilidhani ni mimi pekee yangu lakini niliingia kwenye ukurasa wa Tigo Tanzania Facebook nikaona watu wanalalamika.
Mimi nimetuma pesa kutoka Tigo kwenda M Pesa.
Nikarudishiwa ujumbe muamala umekamilika na pesa imetungwa.
Ila mlengwa akasema haijafika.
Kwanza nikadhani ni utani.
Lakini...
Wakuu
1. Router ni bure
2. Router ni ya 5G
3. Tunakuletea popote
4. Vifurushi ni unlimited
5. Ina connect watu 65 at once umbali wa metre 100
Nini cha kufanya uwe na vifuatavyo
Kama ni mtu binafsi
1. Tin certificate
2. Nida ID
3. Pesa ya kifurushi
Kama ni taasisi au kampuni uwe na
1. Nida...
Hebu angalia Tangazo lao
Halafu angalia walichokifanya nusu saa kabla ya muda
Hii ni Aibu kwao na Mamlaka zinazowasimamia
Nimeweka ushahidi huu ili kuondoa uongo uongo kwenye masuala ya msingi, hizi hela tunazoweka humu si zao ni zetu wajaribu kutuheshimu
Ndani ya dkk 10 zilizopita mawasiliano yangu na mteja yamekatika nilijua ni tatizo la simu. cha ajabu nikitafuta watu watsap nao wananiambia line yao ya tigo ipo emergence call.
Hii ndo line ya huduma ofisini kwangu ntakufaa njaa. Wahusika fanyieni kazi.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza
Nahitaji kuishtaki kampuni ya Tigo kwani walichonifanyia jana wenyewe wanajua
Wamenisababishia hasara ya zaid ya tsh milion 20
Kwahiyo mwenye kujua utaratibu wa kuishtaki kampuni plz ani pm ili nianze mchakato
Tigo wameboresha Vifurushi vyao vya malipo ya baada kama ifuatavyo.
DATA ONLY
15K......15GB
30K......35GB
40K.......48GB
60K.......72GB
100k........120GB
COMBO
15K........10GB + dakika 400
30K........25GB +Dakika 1000
40K.......35GB + Dakika 2000
60K........55GB + Dakika 3000
100K......100GB...
Unatuma pesa kwenda mtandao mwingine au benki halafu muamala unafeli, pesa uliyokua unatuma inarudishwa kwako, lakini tozo na makato kutoka mtandao wa simu hazirudishwi!
Kwanini pesa ya makato ya mitandao ya simu pamoja na tozo hazirudishwi? Kwanini ukatwe tozo na makato kutoka mtandao wa simu...
Nilikuwa nimeweka vocha yangu ya buku 2 ninunue GB 1! Kuingia kwenye Menu ya Tigo tayari mambo yamegeuka, kwasasa kumbe hiyo GB 2000 hupati hata GB 1 yani! Kweli mpaka kufikia 2025 tutanunua GB 1 ELFU 5.
Laini mpya kabisa. Nimeweka salio la elfu mbili na sijaitumia kabisa. Baada ya wiki mbili hela yote imepotea.
Wiki nzima nawafuatilia mwisho wanasema ulijiunga na huduma kadhaa. Nawaomba wanitumie uthibitisho wamekaa kimya kwenye Facebook page yao.
Kuna kitu inabidi tujiulize kuhusu makampuni ya simu na huduma tunazostahili kupata kutoka kwao, huduma ambazo ni haki yetu kupata na wala hatupewi msaada. Shida inatokea pale watanzania wapoona makampuni haya ya simu yanatuhurumia kutupatia huduma hizi na kwamba bila ya huruma yao basi huduma...
Tajiri Rostam Azizi ndio Mmiliki wa Sasa wa Kampuni za Tigo na Zantel
Pia, soma=>Tigo na Zantel kuuzwa kwa Axian group ya Madagascar, naona wanakimbia Socialism economy
Nisikuchoshe kukupa salamu nyingi mno, ninataka kuzungumzia suala la Mtandao wa Tigo nchini Tanzania kushindwa kuhimili mahitaji ya Internet kwa wateja wao.
Si kwamba wanashindwa kutoa vifurushi vya Internet, shida kubwa ni kwamba mtandao wao hausomi kabisa na hata ukifanya kazi speed ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.