Hoja inajegwa hapa kuwa TIGO ilifatilia na kuisaidia serikali kujua uelekeo na mahali Mh. Lissu alipokuwa.
Wakati Lissu amajenga hoja kuwa alishambuliwa akiwa mbuge, wakati wa vikao vya bunge, kwenye makazi ya viongozi waandamizi wa serikali.
Aidha wote tunajua kuwa baada ya Lissu kushabuliwa...
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.
Wajuzi wanasema andiko hili...
Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara amezungumza hayo mbele ya wanahabari leo, Jumatano Septemba 25.2024 na kueleza kuhusu Tigo kuhusika na tukio lake la kushambuliwa
Simulizi ya Tukio la kushambuliwa kwake
"Ilichukua takribani wiki moja kama siku tisa (tangu Polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.