Habari Wana Jukwaa,
Mimi ni mhanga wa tatizo ambalo linahusisha TigoPesa MasterCard. Niliafanya muamala kwenda Alibaba kwa ajili ya manunuzi. Mara ya kwanza nilifaulu kununua bidhaa bila matatizo. Baada ya mwezi mmoja, niliweka tena pesa kwenye TigoPesa na kufanya muamala wa pili tarehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.