SGR, mbona mnajihujumu wenyewe halafu mnalalamika kwamba watu wanahujumu na wanapaswa kukamatwa na kufungwa adhabu kali? Mimi nadhani kwanza mnapaswa kuwachunguza na kuwachukulia hatua wafanyakazi wenu humo ndani kwani wao ndio wanaweza kuwa wanahujumu.
Online, mtu hawezi kununua tiketi kwa...