tiles

Tiles are thin objects, usually square or rectangular in shape. A tile is a manufactured piece of hard-wearing material such as ceramic, stone, metal, baked clay, or even glass, generally used for covering roofs, floors, walls, or other objects such as tabletops. Alternatively, tile can sometimes refer to similar units made from lightweight materials such as perlite, wood, and mineral wool, typically used for wall and ceiling applications. In another sense, a tile is a construction tile or similar object, such as rectangular counters used in playing games (see tile-based game). The word is derived from the French word tuile, which is, in turn, from the Latin word tegula, meaning a roof tile composed of fired clay.
Tiles are often used to form wall and floor coverings, and can range from simple square tiles to complex or mosaics. Tiles are most often made of ceramic, typically glazed for internal uses and unglazed for roofing, but other materials are also commonly used, such as glass, cork, concrete and other composite materials, and stone. Tiling stone is typically marble, onyx, granite or slate. Thinner tiles can be used on walls than on floors, which require more durable surfaces that will resist impacts.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    Ubunifu wa parking na sideways kwa kutumia tiles na pavements blocks

    Ukisikia finishing ni kaburi la pesa basi hapa ni eneo mojawapo Hizo tiles na paving blocks zinauzwa kwa square meter Kisha kuna gharama ya usafiri Halafu kusawazisha na kusindilia vizuri eneo Kuna gharama za zenge, rough cement au mchanga Kuna ufundi Kuna usafi wa kila siku.. Ama kweli kizuri...
  2. M

    Sebule yenye ukubwa wa futi 14 kwa 13 zinaingia tiles box ngapi na bajeti yake yote

    Wakuu naomba kujua sebule yenye vipimo hivo inaingia tiles box ngapi? Na nahitaji tiles ambazo ni affordable kwa mlala hoi lakin imara urembo SIO kipaumbele, vilevile gharama za ujenzi zote pamoja na mafundi Karibuni kwa mchango wenu wadau
  3. M

    Natafuta fundi wa kubandika tiles za Garage (interlocking Garage Floor Tiles)

    Habari, Kama kuna fundi humu ,au mtu anajua fundi mwenye ujuzi wa kubandika hizi tiles za plastic za garage, Site iko Dar es salaam. Anichek PM.
  4. K

    Naomba kujua bei ya Tiles

    Wanajamvi napenda kujua bei ya Tiles Twyford au Goodwill kwa dar es salaam 40×40 25×40 Na skating tiles
  5. M

    Tangastone VS Tiles (Marumaru)

    Habari wakuu, Leo tujadili, kati ya Tangastone za kisasa na marumaru za urembo unapendelea kuweka kipi katika sehemu za nje ya nyumba yako? mfano kwenye msingi, na kama unapendelea tangastone au marumaru, tupe sababu pia.
  6. Yoda

    Inawezekanaje masoko ya Lebanon yenye matatizo mengi hivi yana tiles ila yetu hayana!

    Hii nchi ya Lebanon kila siku naisikia iko vitani na Waisraeli au migogoro ya siasa za ndani kwa ndani kati yao wenyewe ila nimeshangaa masoko yao yana tiles! Sisi tunashindwaje kuweka hata zege tu bila tiles kwa soko muhimu kama la Mabibo?? Masoko yote yalitakiwa yawekwe pavement blocks.
  7. D

    Natafuta tiles aina hii ya India

    Wakuu habari za muda huu? Naomba wauzaji wa tiles au yeyote mwenye kujua nani ambae ana hizi tiles za aina hii anijuze. Nimeshazitumia sehemu kubwa ila zimepelea kama box3 nimerudi kwa alieniuzia kamaliza. Mwenye nazo tafadhali sana naomba mawasiliano yako tufanye biashara. Model yake ni...
  8. Philipo D. Ruzige

    Msaada: Naomba kujua bei ya tiles za jumla au connection ya kiwandani

    Habari ya muda huu wadau. Nipo stage ya kuweka tiles, sasa hizi hesabu zinanipa headache. 40×40 - box 65 25×40- box 45 Skirting - box 7 Tiles za tangastone- box 18 Naomba msaada wa kupata namba/connection ya kiwanda cha tile twyford pale chalinze. Au, Kujua wholesale price ya tiles za...
  9. Ustadh tongwe

    Ninahitaji fundi tiles, site ipo mkoa wa Tanga

    Habari km kichwa Cha habari kinavyoonyesha nnahitaji fundi tiles site ipo mkoa wa Tanga naomba na fundi wakuwepo Tanga maana kazi yangu ni kubwa Hila sio ya kutengeneza Kwa mara moja ndio maana nnataka fundi wa huku huku Tanga maana tutakuwa tunapga vyumba viwili tunakaa wiki tunapga Tena Sasa...
  10. K

    Terrazzo floors & tiles technician and material suppliers

    Tunatoa huduma ya ufundi popote Tanzania tunafika, huduma ni kwenye nyumba za kuishi, biashara, ibada, na masomo tunapatikana Dar +255713545784 pia whatsApp etkisesa@gmail. com
  11. Dr Matola PhD

    Kufuatia mvua zinazoendelea nimegunduwa tiles zinaingiza maji, nini tatizo?

    Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi. Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi...
  12. W

    Naomba kujua square meter ajili ya tiles za ukutani

  13. M

    Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

    Siweki uzi mrefu, Kuna kitu kina nitatiza, nataka kujua marumaru ipi ni Bora kati ya 69*60, 50*50, 49*40, 30*30 Kinachonichanganya zaidi ni box moja la 60*60 linajenga square MITA 1.44 ndo ghali zaidi. 50*50 box boja inajenga skwea MITA 1.75 bei raisi kuliko 60*60 Za 40*40 hizi box moja...
  14. J

    Tiles

    Wadau kwa msaada wa picha, tiles gani niweke Sebuleni, jikoni, dining,chumbani na chooni? Natanguliza shukrani!🙏🏿
  15. AnnAnn

    Makadirio ya tiles

    Habari zenu! Kwa mafundi au mtu yeyote mwenye uzoefu, naomba kujua nyumba ya vyumba vinne inachukua tiles kiasi gani? Just makadirio.
  16. Candela

    Anaejua chimbo la gym tiles zile za kupanga anipe mchoro

    Guys nimewekeza katika gym nataka kuifanya ya kisasa, natafuta sehemu wanauza bidhaa tajwa hapo juu.
  17. bg_dg_dy

    Ninunue zipi kati ya Tiles za Kichina na za Kispaniora?

    Je, ni bora kununua za kichina ambazo zinazalishwa nchini kwa viwanda vya hapa nchini ama kununua za kutoka nje ya nchi mfano Spain, Italy n.k.
  18. Going Concern

    Nishauri juu ya Tiles nisifanye makosa ya kawaida yanayoweza kuepukika

    Habari wakuu! Nimerudi tena baada ya kujikusanya na kujipanga sana. Nimefika hatua ya kuweka vigae (tiles). Sasa kuna jambo ambalo nimejaribu kupitia post mbalimbali na kugundua kwamba vigae pia vina daraja (grades) tofauti, yaani A, B, C. Kutokana na bajeti yangu, sioni uwezekano wa kutumia...
  19. A

    Vijana wa mauzo - Tiles

    Wanahitajika vijana 2 wa mauzo ya tiles. Watakuwa na majukumu ya kwenda kutafuta order sites mbali mbali zinazojengwa. Eneo la ofisi ni Madale na kuna posho kwa mwezi, nauli na commission kulingana na mzigo ulivyouza. Pia nakaribisha wale wote wenye uhitaji wa tiles kwa bei poaa na offer kibao...
  20. A

    Keda Ceramic - Twyford Tiles

    Hawa jamaa walitangaza nafasi ya business Specialist kwenye kiwanda Chao kilichopo mkuranga. Nilifanikiwa kuitwa interview Leo ila ikatumwa sms kuwa zoezi limehairishwa mpaka watakapo toa taarifa tena...Kuna yoyote amekutana na jambo kama hili?
Back
Top Bottom