timiza loan

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Nimeenda benki ya NMB kukopa fedha, naambiwa mkopo wangu umekataliwa kwa vile nina mkopo wa Timiza kampuni ya Simu ya Airtel

    Habari wadau. Jana nilienda kifanya process za mkopo NMB, lakini loan officer akituma taarifa zangu naambiwa loan rejected sina sifa kwa vile nilikopa Timiza Airtel nikachelwa kulipa hivyo kampuni imenishtaki. Hapo huu mkopo wa Timiza nilichukua ila nikalipa kwa riba maana nilizidisha miezi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…