timu kutumika kisiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Nini hatima ya wafuasi wa CHADEMA katika mpira wa Tanzania ?

    Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA wanapaswa kuchukua hatua gani?
Back
Top Bottom