Mimi nikiwa shabiki wa damu wa Horoya Football Club nakiri hadharani kuwa hapa hakuna timu. Japo tupo klabu bingwa lakini klabu yetu imejichokea sana, hatuna wachezaji wowote wa maana wanaojua hata kupiga pasi mbili tatu, tumejaza wachezaji warefu wasiojua kucheza mpira.
Niwaambie tu Simba kuwa...