Tikkurilan Palloseura (abbreviated TiPS) is a football club from Tikkurila in Vantaa, Finland. The club was established in 1958 and its main catchment areas comprise Tikkurila and Hakunila in Itä-Vantaa (East Vantaa). The women's team competes in the Kansallinen Liiga ('National Liga') which is the highest division of women's football in Finland. Men's team competes in the Kolmonen ('Third Division') which is the fourth highest division in Finland. The club's home ground is at Tikkurilan urheilupuisto ('Tikkurila Sports Park').
🔨Kama una pasi ya umeme iliokona na uchafu na unataka kuisafisha haraka. Iwashe ipate moto then chukua wax yamshumaa usugue katika pasi. Jinsi wax inavyoyeyuka inaondoka na uchafu. Ukishamaliza zima pasi ipate ubaridi then tafuta kitambaa au tissue ufutie mabaki.
🔨Kama ukitaka kukumbuka kwa...
Haya ni baadhi ya mambo muhimu kuzingatia kwa wadau wa online dating au utafuta wa marafiki na wachumba mitandaoni.
- Hakikisha unapata picha kamili ya huyo baby unayewasiliana nae huko mtandaoni, picha ile ya utosi hadi unyayo. Ukiona huyo baby wako wa online hataki umuone yukoje, hapo tayari...
Ndugu Mwenye notes au maswali au ABC cha nini naweza kusoma kufaulu interview ya kuandika ya utumishi msaasa please, Natanguliza shukrani.
N. B Mwl wa kemia na biologia🙏🙏🙏🙏🙏
Habari, naomba niweze kutoa uzoefu kidogo kuhusu nilivyoona baada ya kuhudhuria usaili wa muktadha wa muktadha wa mdomo (oral interview).
Kusikiliza kwa ufanisi: Sikiliza vizuri kabla ya kutoa majibu. Jibu kulingana na unachokisikia. Kwa mfano, umeambiwa pointi tano, basi jibu kwa pointi tano...
YouTube Niche Analysis: Make Money Online, Finance, and Social Media Tips
Here's a breakdown of profitable YouTube sub-niches within Make Money Online, Finance, and Social Media Tips, incorporating current trends and monetization strategies:
I. Make Money Online ($13.85/1000)
Main Niche...
Karibu katika safari ya kujifunza kutengeneza android app yaani App za simu za Android, Kujifunza Taaluma hii kuna umuhimu wa mtu kuwa na uelewa wa nini anaenda kufanya na kwa nini.
Elimu hii ni moja kati ya elimu ndani ya software development, kwa hiyo kwa kutekeleza mafunzo haya ya...
Habari wakuu ..!
Mimi naona kwa jinsi vitendo vya ubakaji ,kulawiti watoto wadogo ,na unyanyasaji wa kingono kwa watoto vinavyozidi kutamalaki kwenye jamii zetu ,ifike hatua serikali itoe SoMo huko mashuleni namna ya kutongoza na kubembeleza ili kupata mbususu kirahisi ..!
Maana binadamu...
Habari wanaJamiiForums
Karibu kwenye uzi wetu mpya unaolenga kila kitu kuhusu Digital Marketing!
Katika enzi ya kisasa ya kidijitali, kuelewa wa uuzaji wa kidijitali ni muhimu kwa biashara, wajasiriamali, na mtu yeyote anayejitahidi kujenga uwepo mtandaoni. Uzi huu unalenga kuwa kitovu cha...
💦Kwenye maisha wewe ndio umebeba maono ya maisha yako.
💦Wewe ndo unajua wapi unataka kwenda.
💦Wewe ndo unaona kule unakokwenda.
💧Usikubali kuambiwa huwezi.
💧Usikubali kuambiwa hautafanikiwa.
💧Usikubali kuambiwa wengine walishindwa eti nawe utashindwa.
Wakikwambia hivyo cheka nao, halafu kaza...
Wakuu.
Najua wengi uwa tunajiuliza, inakuaje gari la mwaka 2015 linatoka Japan likiwa na Kilometa 100,000 linafika Tanzania baada ya mwaka mmoja linaonekana chakavu ova limekaa miaka 20 mbele?
Ni kweli tatizo linaweza kua gari lenyewe, miundombinu yetu, mmiliki/dereva, hali ya hewa na sababu...
If you've recently snagged a sleek new Android smartphone—whether it's your inaugural dive into the Android world or a long-overdue upgrade from an older model—prepare for a voyage of discovery and organization. This guide will walk you through the essentials and additional features worth...
Nataka mke wangu siku zote awe soft, young elegant and flourishing, sitaki aonekane mzee,
Naombeni uzoefu kuanzia moangilio wa uzazi na mambo mengine
Shukran
Hello, everyone. Thank you for joining me today. I’m here to talk to you about a topic that is very important for all of us, especially in these challenging times. That topic is wellness.
What is wellness? Wellness is not just the absence of illness or disease. Wellness is a holistic state of...
Mimi naamini kati ya mtihani mkubwa ambao mungu amewapa wanawake ni kusubiri atongozwe,maana yake ili kumpata unayemtaka inabidi utongozwe Sana vinginevyo inabidi ukubaliane na yoyte hata kama Hana vigezo unavyo taka.
Hata ivyo katika miaka ya ivi karibuni wanaume wamepunguza kutongoza kwa...
As graduates Embarking on the journey after college can be both exciting and challenging for graduates. As you step into the professional world one among the biggest challenges graduates face is a job issue, here are some essential pre tips to help you make a smooth transition and build a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.