tls tamko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Wanaomtuhumu Mwabukusi wa TLS kulamba asali waelimishwe. Tumtie moyo maana hawezi fanya hivyo

    Nawasihi sana ndugu zangu tusiwe wepesi wakunyooshea watu vidole! Mwabukusi kafanya kazi kubwa sana inayostahili kupongezwa! Huwezi kumpima mwabukusi kwa jambo moja! Angekuwa mtu wa dili wangemalizana nae kipindi cha bandari! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Ifahamike kwamba mambo...
  2. Wakili Mwabukusi: Aliyesababisha Binti wa Yombo Kubakwa na Kulawitiwa naye Afikishwe Mahakamani

    https://youtu.be/m9WGFYVzCvU Fuatilia yatakayojiri kwenye mkutano wa Rais wa TLS, Boniface Mwabukusi kwenye mkutano wake na waandishi wa habari, leo saa 4:00 asubuhi. Mwabukusi anazunguzia suala la wamasai kuondolewa kwenye eneo lao kwa nguvu, na serikali imeondoa huduma zote za msingi kwao...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…