Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema maeneo yanayopata mvua za chini ya wastani hadi juu ya wastani yanatarajiwa kuwa na matukio ya hali mbaya ya hewa, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
TMA imesema vipindi vya mvua kubwa vinatarajiwa kujitokeza na kusababisha mafuriko na...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa katika mikoa minane kuanzia leo Jumanne, Desemba 3, 2024.
Mvua hizo katika mikoa hiyo ya Dodoma, Singida, Mbeya, Iringa, Njombe, Rukwa, Songwe na Manyara.
Taarifa hiyo ya TMA iliyotolewa leo Desemba 3, 2024 imetahadharisha...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza utabiri wa mvua kubwa katika mikoa 11, itakayoanza leo, Novemba 30, hadi Desemba 1, 2024.
Maeneo yatakayoni mikoa ya Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe, na Rukwa), ukanda wa Pwani ya Kusini mwa Bahari ya Hindi (Lindi na...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) hawakutupatia taadhari juu ya mvua zilizopiga jana usiku mikoa ya pwani.
Kuna watu zinaweza kua zimewaharibia mali au makazi yao. Kwanini hawakutoa taarifa za awali tuchukue taadhari. Au tuseme rada zao hazikuona?
Mvua zimekuja ghafla from nowhere hadi...
Kila Mwanajeshi ninayekutana naye wa Uganda (hasa Maafisa) na wengi wao walioko katika Kikosi cha Ulinzi cha Rais Museveni na wakubwa wao walikoko Makao Makuu yao ya Mbuya na wale walioko katika Vyuo vyao vya Kijeshi kama Kawaweta, Jinja na Kabamba wanasema wanakipigia Saluti Chuo cha TMA na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.