Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA) is an Executive Agency under the Ministry of Health (MOH).
TMDA which was formerly known as Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) was established in 2003 after enactment of the Tanzania Food, Drugs and Cosmetics Act, Cap 219 by the Parliament. This Act was later amended in 2019 to Tanzania Medicines and Medical Devices Act, Cap 219 after the shift of responsibilities of regulating food and cosmetics to Tanzania Bureau of Standards (TBS). The change in legislative framework which was done through the Finance Act, No. 8 of 2019 also resulted into the change of name to TMDA
TMDA is now responsible for regulating quality, safety and effectiveness of medicines, medical devices, diagnostics, biocidals and tobacco products. In order to improve public service delivery, TMDA is managed as an Executive Agency in accordance with the Executive Agencies Act, Cap. 245 which was also amended in 2009
Huu Mtandao Umekuwa wa watu wajinga mno ,unaamdika jambo Kwa niaba ya mada ulizo skia
Utaambiwa ni ww
Kuongozana na wajinga utaitwa mjinga hata kama unawailimisha wale wajinga.
Nimefuta nilicho andika.
Nikijua sehemu ya kufuta completely mpaka comment nitafanya hivyo.
TAHADHARI YA MATUMIZI HATARI YA DAWA ZA KUFUBAZA MAKALI YA VIRUSI VYA UKIMWI (ARV'S) KUNENEPESHA MIFUGO
1. Mamlaka imepata taarifa juu ya uwepo wa baadhi ya wafugaji wanaotumia vibaya dawa za kufubaza makali ya Virusi vya UKIMWI (ARV's) ili kunenepesha mifugo yao.
2. TMDA inapenda kukemea...
Kabla ya matumizi ya sukari iliyoletwa na wafanyabiashara kwa njia ya vibali walitakiwa TMDA watoke hadharani kuwaelezea wananchi kuwa sukari hiyo iliyoletwa ni salama kwa matumizi ya binadamu.
Taarifa hii mpaka leo haijatolewa na Mamlaka husika na wako kimya jambo ambalo linaleta wasiwasi...
Baadhi ya maafisa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) ambayo miezi kadhaa iliyopita ilikabidhiwa jukumu la kusimamia maduka ya dawa kutoka Baraza la Famasi ambao walikuwa na jukumu hilo awali, wamekuwa wakienda kwenye maduka ya dawa haswa yenye changamoto ya usajili wa baadhi ya dawa na...
TFDA ilibadilishwa kisheria na kuwa TMDA tarehe 1 Julai, 2019 baada ya marekebisho ya Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi, Sura ya 219 na Sheria ya Fedha Na. 8 ya 2019. ya bidhaa za chakula. Hivyo kuwepo kwa TMDA ambayo majukumu yake makuu ni kudhibiti usalama, ubora na ufanisi wa dawa, vifaa...
Mkurugenzi Mkuu
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)
S.L.P 1253 Dodoma / 77150 Dar Es Salaam.
Barua pepe: info@tmda.go.tz
Tovuti: www.tmda.go.tz
Yah: PENDEKEZO LA UTARATIBU WA KUSHUGHULIKA NA DAWA ZISIZOFAA KWA MATUMIZI NCHINI
Baadhi ya tafsiri:
Dawa zisizofaa kwa matumizi: Ni zile bidhaa...
Hello wananzengo wa Tanzania popote mlipo duniani. Nautupia huu uzi humu ili tuujadili kwa pamoja.
Kumeibuka wimbi la "Mikate ya Maziwa" hapa nchini. Kila sehemu ipo inauzwa.
Maswali yangu machache kwa mamlaka za udhibiti ubora (TMDA na TBS) ni haya:
1. Je, tuna taarifa za kutosha juu ya...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema “Msimamo wangu tubadilishe Sheria ili Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) ndio isimamie maduka ya Dawa kisha Baraza la Famasi libaki kusimamia taaluma, TMDA ina nguvu na inaweza kufanya kazi."
mesema hayo Novemba 17, 2023 katika Kongamano la Tatu...
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe amewaagiza wataalam wa uthibitisho wa ubora kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS), TMDA na SIDO kuwaelimisha wajasiriamali namna ya kuzalisha bidhaa zenye ubora.
Mhe. Kigahe amebainisha hayo Oktoba 18, 2023 alipozindua maonesho ya...
Kuna ulazima gani wakuwa na kulipia certificate ya TMDA wakati dukani sio kiwandani?
Hii n kero nyingine kwenye Biashara naomba waziri mkuu apokee hii nayo Kama changamoto
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Kanda ya Mashariki likishirikiana Jeshi la Polisi wanamshikilia William Mwangile anayedaiwa kuzalisha na kusambaza dawa bandia kwa mfumo wa makopo.
Mkaguzi wa Dawa wa TMDA, Jafari Mtoro, amesema Mwangile amekamatwa jana Ijumaa Aprili 14, maeneo ya Kipawa...
TMDA na mamlaka husika chukueni hatua haraka kuna upotoshaji mkubwa wa namna na aina mbalimbali za dawa zinazouzwa kwenye mabus yatokayo Moshi bus stand kwenda Arusha na kwenda Dar.
Vijana hao wanasema wanatoka kampuni ya Mama Kilimanjaro. Tafadhalini fuatilieni na mzuei upotofu unafanywa na...
Asilimia 30 ya maduka ya dawa za binadamu Kanda ya Ziwa Magharibi yanadaiwa kuuza dawa za kuongeza nguvu za kiume ambazo hazijasajiliwa pamoja na dawa za kuharibu vichocheo (hormones) kwa wasichana ili mimba isitungwe maarufu P2, jambo linalotajwa kuhatarisha afya ya uzazi.
Meneja wa Mamlaka ya...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, imeishauri serikali kufanya tathmini kuhusu usimamizi wa Usalama wa Chakula kurejeshwa Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba (TMDA), ili kurahisisha utendaji
Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Aloyce Kamamba, amesema Wizara ya Afya na Wizara ya...
Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba Tanzania (TMDA) kanda ya ziwa magharibi, imekamata shehena ya sigara bandia aina ya SuperMatch yenye thamani ya Sh1.8 bilioni.
Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Septemba 28, 2022 na Meneja wa kitengo cha Uhusiano TMDA, Gaudensia Simwanza imeeleza walipokea taarifa...
Kwa sasa nchi yetu imekumbwa na taharuki kubwa hasa kwa watumiaji wa samaki baada ya kauli ya Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango pamoja na maelezo yaliyotolewa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ullega kuhusiana na matumizi ya maji ya kuoshea maiti.
Kwanini Mamlaka za kisayansi ikiwemo...
MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Mashariki imekamata vifaa tiba na dawa ambazo hazijasajiliwa zenye thamani ya Sh. milioni 294.4.
Bidhaa hizo zimekamatwa kufuatia ukaguzi maalum, uliofanyika eneo la Mtaa wa Kitumbini katika Kata ya Mchafukoge katikati ya Jiji la Dar es Salaam...
POST LABORATORY TECHNICIAN II – 2 POST
EMPLOYER Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-08 2022-06-21
JOB SUMMARY ok
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.To clean laboratory equipment and carry out arrangement of instruments;
ii.To ensure cleanliness and...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewafutia kesi ya Uhujumu Uchumi na kuwaachia huru wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba nchini Tanzania (TMDA) akiwemo Mkurugenzi wa Usalama wa Chakula, Raymond Wigenge, waliokuwa wanakabiliwa na shtaka moja la kuisababishia hasara Mamlaka hiyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.