toc

Toc Toc Toc is a Canadian French children's television series. Currently the series airs in Canada on Radio Canada.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    RT yasimama na Simbu: Nyuma ya Pazia kuenguliwa Uchaguzi TOC

    Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limeeleza kusikitishwa na hatua ya kumuengua mwanariadha Alphonce Simbu katika uchaguzi wa Kamisheni ya Wachezaji ya Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), kwa madai ya usaliti. Rais wa RT, Silas Isangi, akizungumza na TBC Digital jijini Mwanza, amesema sakata...
  2. Melubo Letema

    Simbu akatwa jina na Henry Tandau na Ghulam kwenye uchaguzi wa kamisheni

    Mwanariadha wa kimataifa Alphonce felix Simbu aliyekuwa anagombea uongozi wa Kamisheni ya Wachezaji (KAWATA) wa Olimpiki Tanzania jina lake limekatwa na wazee wa wanafiki na wazadiki wa TOC, ambao ni Henry Tandau na Rashid Ghulamu Sababu kubwa ni yeye simbu kukataa kukimbilia kampuni ya Asics...
  3. Melubo Letema

    Kufutwa kwa Mchakato wa uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania ( TOC)

    Katiba ya mchongo imemlazimu Msajili kufuta uchaguzi wa kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC).
  4. Melubo Letema

    TOC kufanya uchaguzi Disemba 14, Filbert Bayi Kugombea tena

    Kamati ya Olimpiki Tanzania , wazee wa TOC wanatarajia kufanya uchaguzi tarehe 14/12/2024 eneo lile lile la kila wakati DODOMA HOTEL , Dodoma na wasamizi wa uchaguzi ni watatu tu. Uchaguzi utatanguliwa na uchaguzi wa kamisheni ya wanamichezo. Filbert Bayi bado yuko busy kujipanga na rushwa ili...
  5. Melubo Letema

    Ndumbaro ili ufanikiwe kwenye Riadha Vunja Kamati ya TOC na hawa Wazee Filbert Bayi, Henry Tandau na Ghulam Rashid waondoke madarakani

    Mheshimiwa waziri nimekusikia na kukuona kwenye mitandao ukiwa site huko manyara ukizungumza kuanzisha kituo cha michezo hasa riadha, na kuwaza kushinda mashindano mbalimbali; Sasa ili ufanikiwe kwenye riadha, sumu kali ipo kwenye kamati ya olimpiki Tanzania (TOC) ikiongozwa zaidi na fisadi...
  6. Melubo Letema

    Paris Olympics 2024: Tuzingatie Vigezo vya Kufuzu Michezo ya Olimpiki na Michezo inayochezwa huko

    Michezo ya Olimpiki inasimamiwa na kuratibiwa na kamati ya olimpiki duniani (IOC) kwa ajili ya kusaidia michezo mbalimbali kwenye nchi nyingi Duniani. Kuna michezo ya kuruka au miruko mbalimbali , kukimbia uwanjani na Barabarani , kutembea , Kurusha Tufe, Kurusha Mkuki , kurusha kisahani...
  7. JanguKamaJangu

    Suleiman Nyambui asema hakufurahishwa jinsi kina Simbu walivyotoswa Airport

    Mwanariadha wa zamani na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui amesema hakufurahishwa na kitendo cha Uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutojitokeza kuwapokea Wanariadha wa Tanzania walioenda kushiriki katika michezo ya Olimpiki Jijini Parisi, Ufaransa. Imedaiwa Mkuu wa Msafara huo...
  8. MamaSamia2025

    Chama cha riadha (AT), kamati ya olimpiki (TOC) na CCM tafadhali someni huu uzi

    Baada ya comments zangu kadhaa mitandaoni kuhusu michezo ya olimpiki nimepokea messages nyingi sana zikinisihi niandike uzi kuhusu mchezo wa riadha na nini kifanyike ili twende mbele. Baada ya tafakuri ya kina nimeona niandike huu uzi kwa maslahi mapana ya taifa. Kama kawaida maoni yangu kuhusu...
  9. Melubo Letema

    Dr. Ndumbaro Remove the whole Executive Committee of entire Tanzania Olympic Committee (TOC) are Corrupted since 2002.

    Honorable Minister, we would like to put it in your attention existence of the following facts; 1. That, since 2002 Tanzania Olympic Committee’s current top leadership has been in power untouchably and since then Tanzania has never gained a single Olympic Games Medal. 2. That, since 2002 there...
  10. A

    DOKEZO Kuna harufu ya ufisadi Kamati ya Olimpiki Tanzania

    Kamati ya Olympiki ya Kimataifa (IOC) hutoa ruzuku kwa wanachama wake wote duniani wajulikanao kama (NOC) yaani National Olympic Committees kwa kila nchi ambayo inashiriki mashindano ya Olimpiki ya majira ya Joto (Summer Olympic Games) na majira ya Baridi (Winter Olympic Games). Tanzania ni...
  11. Melubo Letema

    Wanariadha 9 kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola - Uingereza.

    Wanariadha wapatao 9, Wanamichezo wengine na Viongozi wao wameondoka kwenda nchini Uingereza kushiriki Mbio za uwanjani na mbio Ndefu katika mashindano ya Jumuiya ya Madola yatakayofanyika Birmingham Uingereza (28 July to 8 August 2022)
  12. Melubo Letema

    Wanariadha 4 wa Tanzania, Waangukia Pua huko Kenya

    Wanariadha maarufu wa nchini , waliokwenda Kenya kutafuta kufuzu mashindano ya kimataifa wameambulia nafasi ya 8 Kwa Mwanariadha wa kike, Huku Wanaume wa 3 wakiambulia patupu, Huku Mmoja akishika nafasi ya Mwisho kwenye Mbio za Mita 800. Maandalizi ya Mashindano ya Riadha Bado ni But Sana...
  13. Melubo Letema

    TOC ya Filbert BAYI na TANDAU Yakalia Kuti Kavu, Washindwa kujibu Tuhuma za Ufisadi

    RIPOTA PANORAMA 0711 46 49 84 IKIWA ni zaidi ya mwezi mmoja sasa tangu Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutangaza kuitisha mkutano mkubwa wa waandishi wa habari kujibu tuhuma za ufisadi ambazo zimekuwa zikielekezwa zaidi kwa Katibu Mkuu, Filbert Bayi, kamati hiyo imeshindwa kutekeleza azma...
  14. Melubo Letema

    Filbert Bayi Adaiwa Kufisadi Fedha za Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Yeye Akanusha Asema Anachafuliwa

    KATIBU Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania, Filbert Bayi anadaiwa kuhusika na ufisadi wa fedha zinazotolewa na Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) kwa ajili ya maendeleo ya mchezo wa riadha hapa nchini. Taarifa zilizoifikia Tanzania PANORAMA Blog kutoka kwa wadau wa mchezo wa riadha walio...
  15. Melubo Letema

    Filbert Bayi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na mikakati yake mibovu

    Mikakati mibovu ya Filbert Bayi yakamilika baada ya TOC kumtangaza Thomas Tlanka (kinyume na maamuzi ya Kamati Tendaji) kuwa kocha wa timu ya riadha ya Tokyo. Amekuwa akitumia ukabila kwenye teuzi zake au kuhamasisha ukabila ndani ya Riadha. Kwa Mfano, mtiririko huko hapa; Inawezekana vipi...
Back
Top Bottom