Hawa wazungu wakija Afrika hatuwaombi cheti cha lugha ya nchi husika, lakini wao ukitaka kwenda kwenda kusoma kwao watataka hivyo vyeti hapo juu.
Kuna nchi kama Tanzania na zingine tunatumia kiingereza kama lugha ya kujifunzia lakini bado ukitaka kwenda kwao wanataka hicho cheti.
Huu bado ni...