tofauti ya maneno ya kiingereza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyanda Banka

    Lazima ujue kutofautisha hivi vitu kingereza ni lugha nyepesi sana, jifunze kitu hapa

    IPI TOFAUTI KATI YA “COME BACK” NA “GO BACK”? Kwenye post hii, naenda kukupa tofauti kati ya “come back” na “go back”. Maneno yote mawili “Come back” na “go back” humaanisha “rudi” au “kurudi”. Mfano unaposema “come back home” unamaanisha ‘rudi nyumbani’, na ukisema “go back home” pia...
Back
Top Bottom