tone tone

Tone is the use of pitch in language to distinguish lexical or grammatical meaning—that is, to distinguish or to inflect words. All oral languages use pitch to express emotional and other para-linguistic information and to convey emphasis, contrast and other such features in what is called intonation, but not all languages use tones to distinguish words or their inflections, analogously to consonants and vowels. Languages that have this feature are called tonal languages; the distinctive tone patterns of such a language are sometimes called tonemes, by analogy with phoneme. Tonal languages are common in East and Southeast Asia, Africa, the Americas and the Pacific.
Tonal languages are different from pitch-accent languages in that tonal languages can have each syllable with an independent tone whilst pitch-accent languages may have one syllable in a word or morpheme that is more prominent than the others.

View More On Wikipedia.org
  1. CHADEMA mnahitaji tangazo jipya bora la TONE TONE, hili la sasa halitafika mbali.

    Tangazo la TONE TONE la CHADEMA la sasa linaonyesha zaidi ufahari na lenye kuwakilisha mazingira ya tabaka la mjini na kishua zaidi. CHADEMA, halina msisitizo na msisimko wa wale mnayopigania au kuhitaji kutoka kwa jamii.
  2. Changia CHADEMA TONE TONE. Nimo, umo, tumo

    Changia CHADEMA TONE TONE. Nimo, umo, tumo Tone tone Changia Chadema, 0744446969 Chadema HQ
  3. Pre GE2025 Lema: Kupitia Tone tone kutapunguza utegemezi wa Ruzuku

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Godbless Lema na Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya fedha ya chama hicho amesema endapo wanachama na wadau wakikichangia chama hicho kwa wingi kwa kiasi walichonacho kwani fedha hizo zitakisaidia chama hicho kufanya kazi zake na kuwafikia...
  4. Pre GE2025 John Heche: CHADEMA Kujenga Chuo cha Uongozi na Ukumbi wa Mikutano Kupitia Kampeni ya "Tone Tone"

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema chama hicho kinatarajia kujenga chuo maalum cha uongozi na kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano katika eneo la Soga, kwa kutumia fedha zinazoendelea kuchangwa na wadau kupitia kampeni inayoitwa “tone tone”. Kupata matukio na taarifa zote kwa...
  5. T

    Pre GE2025 Lema awataka watu kuendelea kuchangia tone tone hata kama wanakutana na changamoto, asema mwisho wa uhuni umekaribia

    "Msikate TAMAA kabisa , endeleeni kutuma pesa hata kama mnakutana na changamoto kama hizi. Mwisho wa uhuni umekaribia sana." - Godbless Lema Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  6. P

    Mtandao kusuasua siku mbili hizi ni njama ya kuzuia kampeni ya Tone Tone kuichangia CHADEMA?

    Salaam Wakuu, Toka kampeni ya Tone Tone izinduliwe kumekwa na changamoto ya mtandao ambao haieleweki eleweki. Wakati wameshazindua na wakawa wanaitana mbele kila mmoja kuhamasisha watu wake, commentszilikuwa zinapita chini baadhi wakisema miamala inakataliwa, mara inakaa pending muda mrefu...
  7. K

    TUNAOMBA CHADEMA IRUDIE TENA TARATIBU ZA KUFUATA ILI TUCHANGIE TONE TONE KWA NJIA YA MPESA, AIRTEL, TIGO NAKADHALIKA

    Juzi ilizinduliwa uchangiaji wa TONE TONE na hivyo tunaiomba CHADEMA irudie taratibu wa uchangiaji huu mara kwa mara ili wanaopenda kuchangia wachangie. Chama kielekeze wazi taratibu za njia rahisi kutuma mchango huu kwa njia mitandao ya simu kama vile Mpesa, Airteli, Tigo nk na njia zingine...
  8. S

    Ushauri kwa CHADEMA ili TONE TONE ifanikiwe

    Ili kampeni ya TONE TONE ifanikiwe, ni lazima iambatane na mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja na zaid yanayogusa watu wengi. Kwa maneno mengine, ni lazima CHADEMA waonyeshe na watangaze uhusiano wa TONE TONE na maisha ya wananchi. Kwa mfano, kampeni ya TONE TONE kuanzia kwenye mabongo ya...
  9. T

    Heche: Tunataka kujenga taifa la watu wanaojitolea ili wawe na nguvu ya kuhoji

    Heche amesema lengo la kampeni ya Tone Tone ni kujenga jamii itakayokuwa na uwezo wa kuhoji na kusimamia vitu kwa sababu na wao wanakuwa na mchango katika kujenga chama "Tunataka kujenga jamii ya watu ambayo amabo wanajitolea, wanaifuatilia, wanaisimamia serikali, wanasimamia vyama vya saisa" -...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…