Sijui Wana tamaa, ukipendeza wanajileta,
Sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa.
Ukimfata na gari hata kama la kuazima, ujue amekwisha huyo. Akikupa namba we tuma salio, mwambie njoo gheto.
Mmekutana Leo. Unamuomba namba Leo na anakupa Leo!
Wale members wa kiume msiojua kutongoza, Mr Nay...