top 10

AFI's 10 Top 10 honors the ten greatest US films in ten classic film genres. Presented by the American Film Institute (AFI), the lists were unveiled on a television special broadcast by CBS on June 17, 2008. In the special, various actors and directors, among them Clint Eastwood, Quentin Tarantino, Kirk Douglas, Harrison Ford, Martin Scorsese, Steven Spielberg, George Lucas, Roman Polanski, and Jane Fonda, discussed their admiration for and personal contributions to the films cited.
The entire list of 500 nominated films is available on the American Film Institute website.
To date, this is the final program in AFI's countdown specials.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Wasafiri wataja top 10 ya mabasi yenye huduma nzuri kwenda mikoani 2024

    Habari wadau? Leo nilifika kwenye eneo lililochangamka ghafla kwa usafiri wa mabasi ya kwenda nje ya Dar es Salaam, pale Shekilango-Ubungo. Safari yangu pale ilikuwa kusafirisha mzigo kwenda mkoa mmoja uliyopo Kanda ya Ziwa. Nikiwa naendelea kuhudumiwa, nilishangaa namna mabasi yalivyo mengi...
  2. Mad Max

    Top 10 ya magari yaliyouzwa sana Duniani 2024 (hadi sasa Nov), China ameingiza makampuni mawili!

    Speed ya China kwenye sekta ya magari inazidi kutishia ulimwengu. Pamoja na vikwazo vingi alivyowekewa nchi za magharibi na Marekani, bado jamaa anaendelea kutusua, na sasa ameingiza makampuni mawili kwenye top 10. Kuanzia BYD, ambayo imeshika nafasi ya 6 na inazidi kupanda kwa kasi ya ajabu...
  3. JanguKamaJangu

    PCCB among top 10 most responsive Public Institutions on Digital Platforms

    The anti-corruption watchdog, along with nine other institutions, was recognized as one of the most responsive government bodies during the ‘Stories of Change 2024’ gala, held over the weekend in Dar es Salaam where the PCCB received the ‘Champion of Citizen Engagement’ award. PCCB has been...
  4. Yoda

    Kwanini watu weusi ni vigumu sana kuwa Top 10 ya matajiri na kujenga utajiri wa vizazi (generational wealth)?

    Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila...
  5. Gol D Roger

    My personal Top 10 list ya movie za kusikitisha nilizobahatika kuona

    Wakuu kwema Mbele yenu nina list ya drama ambazo zilinisikitisha me personally baada ya kuziangalia, ziko nyingi but nimezi-compress hadi nimetoka na kumi tuu, ambazo naamini ukienda kuziangalia hutotoka empty handed. Honourable mentions; All Quiet on the Western Front The Boy in the stripped...
  6. G

    Top 10, Nchi zinazoongoza kwa kuwabana wanawake kwenye ajira, Kuna uhusiano na dini ?

    Vyanzo vingi vinaonesha nchi hizi ndio zinaongoza kwa kuwa na imbalanced work force, Yaani baadhi ya nchi kwenye hii orodha ni mwiko mwanamke kwenda chuoni, kazi zinabanwa ziwe kwa wanaume tu.
  7. Gol D Roger

    Top 10 za shahada za vyuo vikuu ambazo wahitimi wanajuta kusoma.

    Hii ranking imetokana na survey iliyofanyika kutoka kwa wahitimu wa vyuo vikuu wanaotafuta kazi, factors kama ugumu wa kupata kazi, competition na kiasi cha mishahara ndo vimechangia ranking ya hizi kozi. 10. English Language and Literature Degree (hii sio Bachelor of Education) 9. Biology...
  8. B

    Top 10 African countries with serious leadership

    The following is the list of top 10 African Countries with serious leaders; 1. Burkina Fasso 2. Kenya 3. Rwanda 4. Cote d' Voire aka Ivory Coast 5. Uganda 6. Senegal 7. Guinea 8. Niger 9. Mali 10. Egypt
  9. Mad Max

    HATIMAYE: Mazda CX-5 imeingia Top 5 ya gari zinazoingizwa Tanzania kutoka Japan

    Wakuu. Mapenzi ya Watanzania kwa SUV pendwa Mazda CX-5 yanazidi kujionesha kwa Mtandao maarufu wa kuingiza Magari kutoka Japan kuiweka katika magari 10 yanayoingizwa sana Tanzania na kushika namba 4. Bado Subaru Forester, tako la Nyani na IST wako mbele yake ila inaonesha jinsi gari mwaka...
  10. G

    Inakuwaje nchi yetu iliyojaa fursa na rasilimali hayumo Mtanzania hata mmoja wa asili kwenye kumi bora ya matajiri?

    Tukianza kuangalia jamii zilizofanikiwa hapa nchini, sharti la kwanza huwa ni kuwaweka Waarabu na Wahindi pembeni, hawa watu wametupiga gepu refu sana, hata top 20 ya matajiri huwezi kuta mtanzania wa asili, wakimbiza vibaya mno !! Tukiwatoa hao waarabu na wahindi ndio tunafuata sisi watanzania...
  11. Tareq20

    Pre GE2025 CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, Samia asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

    Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu Rais ndio mtaempitisha kama mgombea. Tumechoshwa na mambo yanayoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela, wizi wa mali za umma unaoota mizizi...
  12. Frank Lwakatare

    Top 10 Favourite Books I've Read in 2023 📚 - Frank M Lwakatare

    📌 Frank Notes Top 10 Favourite Books Read in 2023⚡ My reading journey in 2023 unearthed a wealth of knowledge that sparked my intellect and fuelled my imagination, where I read a total of 36 books (30 New gems and 6 cherished Re-reads). I mostly dived into books about Stock Market Investing...
  13. Balqior

    Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

    Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake. Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
  14. BARD AI

    Top 10: ya Mikoa iliyoongoza kwa matumizi makubwa ya Umeme 2022:

    1.Dar es Salaam-2,805.9 GWH 2.Pwani-635.7GWH 3.Arusha-413.9 GWH 4.Shinyanga-411.2 GWH 5.Tanga-408.7 GWH 6. Mwanza-344.5 GWH 7. Morogoro-307.5 GWH 8.Dodoma-249.3 GWH 9.Mbeya-231.5GWH 10.Mara-215.1 GWH Chanzo: TANESCO/NBS
  15. M

    Most gifted men’: Top 10 countries with the biggest manhood sizes in 2023

    Most gifted men’: Top 10 countries with the biggest manhood sizes in 2023 The top 10 countries with the biggest manhood sizes revealed Africa dominates the list with six entries. Is South Africa ranked higher? byLeeroy Mukotekwa 27-08-2023 12:44 in Lifestyle No doubt, over the years, manhood...
  16. BARD AI

    TOP 10: Tanzania ni kati ya Nchi 10 za Afrika zinazoongoza kwa kupokea Misaada kutoka Marekani

    Takwimu za World Population Review kwa kipindi cha takriban miaka 5 Nchi za Afrika pekee zinakadiriwa kupokea 32% ya misaada ya Kifedha kutoka Marekani, 31% ni Nchi za Mashariki ya Kati na 25% katika Nchi za Asia. Nchi 5 za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ni kati ya Nchi 10 Barani Afrika...
  17. B

    Top 10 ya Wazalendo Tanzania kwa sasa, 2023

    Mzalendo ni mtu ambaye anaitakia mema nchi yake na yuko tayari kuitetea kwa vyovyote hata kama ikimgharimu mateso, kutengwa, kudhihakiwa, kutukanwa, kufungwa au kuuawa kwa kufanya hivyo. Ifuatayo ni orodha ya wazalendo wetu wa Kitanzania kwa sasa; 1. Wakili Msomi Mwabukusi 2. Wakili Msomi...
  18. MK254

    Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

    Avocados have in a recent past become one of Tanzania’s hottest exports with more farmers engaging in what has been christened as the green gold. However, even with production hitting record levels Tanzania is yet to hit the top 10 global producers with much of the production being dominated by...
  19. Frank Lwakatare

    Top 10 Empowering Books For Women Recommend 📚 - Frank M Lwakatare

    "Empowering Books for Women Recommended" By F.M.L (Kijistone Library) Here are the Top 10 empowering books that celebrate the strength, resilience, and power of women that I'd like to recommend to our Kijistone Queens: 1) "The Female Brain" Book 📖 by Louann Brizendine: This book explores...
  20. Tanzania Nchi Yetu Sote

    Hoja za Kihiyo uamuzi wa NECTA kuachana na utaratibu wa kutangaza top 10 na mwanafunzi bora

    Nimefuatilia kwa karibu mitizamo kinzani ya wadau wa elimu na wanaharakati mbalimbali baada ya Baraza la mitihani Tanzania kutangaza matokeo kidato cha nne 2022, na hoja kubwa iliyoleta mjadala mtandaoni ni ile ya Baraza la mitihani Tanzania kuondoa utaratibu wa kutangaza shule kumi bora...
Back
Top Bottom