Salaam.
Kwangu mimi nahisi roho ikiacha mwili basi inakutana na kiza kinene na ukimya wa maisha, nafsi na roho yako itakuwepo na inaweza kufika mbali sana, mfano inaweza kufika sayari ya Pluto na kurudi ndani ya sekunde 30.
Kama una uwezo wa kukaa vizuri au kuishi vizuri hapa Duniani basi...
Bilionea namba 2 India na namba 22 duniani Gautam Adani amepata pigo jingine baada ya kampuni ya Total Energies kusimamisha uwekezaji ndani ya kampuni zake. Hii ni kutokana na tuhuma za utoaji rushwa anazokabiliwa nazo kutoka Serikali ya Marekani.
Je Tanzania ni sikio la kufa??
==========...
Nukuu ya mwanautopolo lialia Labani og
"Kama utakuwa professional kwenye soka la nchi hii jaribu kuweka vikosi vya Azam na Simba kwenye mzani
.... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ..."
Kosa la Labani og ni kutumia neno professional kwenye kujiaminisha kwamba...
Whomever holds power from now (2024), on whatever landmass on Earth, with an organized government will make sure they hold onto it as long as it can or forever if the opportunity presents itself.
Welcome to the new world order,you thought it would come in the form of a world government but it...
There has been a shift in our way of Thinking. We used to think we can became self reliant and do all what needs doing.., of-course nothing wrong with assistance here and there....; Now our mentality has changed and we think we can't do anything worthwhile without assistance of others. We should...
CCM imefanya kosa kubwa sana la kiufundi kuivalia njuga agenda ya Bandari, it's a total political miscalculation.
Chama kilipaswa kuiachia serikali zigo lake na kuipa maelekezo itoe ufafanuzi yenyewe. Sasa leo CCM ndio imeingia frontline kutoa ufafanuzi na kuikingia kifua DP World, Kama...
Kupima ukubwa wa mtu ni lazma kujua ana nyimbo ngapi ametoa Toka ameanza Kuimba muziki, msaniii harmonize amerelease nyimbo 127 Toka ameanza Kuimba, na hii idadi amemuacha diamond mbali sana ambaye hata nyimbo 100 hafikishi, pia harmonize amefanya kolabo nyingi zaidi ya diamond, na pia ana album...
Thanks God that all is well.
In fact our GDP is still very low and it is as 5 times lower that that of Washington DC not speaking about the whole country.
Even the low budget of roughly 3.3 trillion reflects the low GDP of this country. Now, contrary to what was expected jpm decided to launch...
Waziri wa Uchukuzi wa Ufaransa alitoa wito wa kuangazia mazingira ya kashfa hiyo inayozunguka tuhuma za kampuni ya mafuta ya TotalEnergies kuisambazia Urusi mafuta kwa mahitaji ya jeshi la anga la Urusi.
Tofauti na makampuni mengi makubwa ya Magharibi ambayo yameanza kufanya biashara nchini...
The story at a glance
As technocracy and transhumanism have risen to the fore, they have brought with them their own form of science — “scientism” — which is basically the religion of science. In other words, it’s a belief even in the absence of evidence, or in the face of contrary evidence...
ADMINISTRATION SUPPORT OFFICER
Human Resources
DAR ES SALAAM-NELSON MANDELA RD(TZA)
Tanzania
Job Description
Managing house leases/rents for expatriates.
To ensure comfortable working conditions, regular communication with expats about their housing, schools, and other needs.
Reviewing...
Hamjambo je tunao hapa wataalamu wa uchumi? Pato la Taifa ni GNP au GDP? Nominal - itakuwa kinaganaga?
Ufafanuzi kwa Kiingereza:
GNP Gross National Product (kisawe = gross national income GNI) : total domestic and foreign output claimed by residents of a country, consisting of gross domestic...
Miili miwili kati ya mitatu ya watu iliyopatikana juzi Ijumaa ilikutwa ikielea katika Mto Yala Nchini Kenya.
Mmoja ulikutwa umetobolewa macho huku ukiwa umekunjwa na kitambaa katika mdomo, mwingine ukiwa umezungushiwa nailoni juu ya kichwa na kufunika uso.
OCPD Charles Chacha wa Yala...
Position: Administration Officer
About the job
Description Du Poste
HSEQ: Respect of the Golden rules and all the HSE rules and standards of TotalEnergies by all the staff, contractors, customers…
Manage office leases and house rents for expatriates and upcountry employees.
To ensure that...
Market analysis:
Analyze key factors for the development of renewable projects in the market:
Electricity market (regulation, price structure)
Electricity demand (segmentation, location, growth)
Electricity production (mix, emissions, production centers)
Grid (age, quality, development...
Wanabodi,
Kampuni ya Total, ambayo ndio kampuni kubwa ya Mafuta kwa nchi za Afrika Mashariki na ya 5 duniani, imebadili jina kutoka Total, na kuwa TotalEnergies.
Wewe kama mwana JF, be the first to know!.
Paskali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.